Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC TEMEKE AHUDHURIA SEMINA YA UJASIRIAMALI DAR LIVE

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Ideal Health Care Saravai R. Izina akitoa ufafanuzi katika semina hiyo. Wanasemina wakifuatilia jambo. Mshauri na mtafiti wa masuala ya afya wa Ideal Health Care, John Kabugi akielezea jambo katika semina hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SEMINA YA KIMATAIFA YA UJASIRIAMALI YAENDELEA DAR LIVE

Kisamvu kilichotengenezwa kitaalam na wajasiriamali hao ambacho kina uwezo wa kukaa siku tano bila kuharibika.
Wataalam wa mafunzo wakionesha mashine ya kutotoa vifaranga vya kuku kwa wajasiriamali (hawapo pichani).…

 

10 years ago

GPL

SEMINA YA UJASIRIAMALI KUFANYIKA 25-28 MACHI DAR LIVE

Mkurugenzi Mtendaji wa Ideal Healthcare Centre, John Kabugi (katikati), akielezea namna ya faida ya mti wa Mlonge ilivyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Fedha na Utawala wa Ideal Healthcare,  Ester Mtwalizya,  akizungumza mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakifuatilia tukio hilo.…

 

10 years ago

GPL

KATIBU CCM MKOA WA DAR AZINDUA SEMINA ELEKEZI KWA MABALOZI WA MASHINA YA KATA YA VITUKA JIMBO LA TEMEKE‏

 Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu, akizungumza na mabalozi  wa mashina ya Chama cha Mapinduzi (CCM)  Kata ya Vituka Jimbo lake, ambapo mgeni Rasmi wa semina ya mabalozi hao alikuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam  Abillahi Mihella.   Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Miburani Ally… ...

 

11 years ago

GPL

ANGELS MOMENT YAENDESHA SEMINA YA UJASIRIMALI DAR LIVE

Sehemu ya wanasemina waliohudhuria. Wasanii wa THT wakinogesha mambo. Bi Aisha Bilal akisoma…

 

11 years ago

Michuzi

TEMEKE FAMILY & SPORTS CLUB KUANDAA TAMASHA 4 MEI DAR LIVE

Vijana wa Temeke wameungana na kuunda kundi linaloitwa Temeke Family & Sports Club , Pichani wanaonekana viongozi wa kikundi hicho wakiwa na Mlezi wao ni Ndg. Phares Magesa ( MNEC) wakibadilishana mawazo namna ya kufanikisha tamasha kubwa la wanamichezo litakalofanyika tarehe 4 Mei, 2014 katika ukumbi wa Dar live Mbagala na linatarajiwa kuhudhuriwa na vikundi zaidi ya 50 vya vijana na wanamichezo.

 

11 years ago

GPL

MISS UNI-COLLEGE TEMEKE KUCHUANA J'MOSI HII DAR LIVE

Warembo wanaowania shindano la kumsaka Miss Uni-College Temeke watachuana katika fainali zitakazofanyika Jumamosi ya Mei 17 mwaka huu katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mshindi wa shindano hilo atajizolea zawadi kibao ikiwemo fedha taslimu shilingi 300,000/= na shopping ya nguvu yenye thamani ya shilingi 250,000/= kutoka duka la Robby One… ...

 

11 years ago

Michuzi

Miss Uni College Temeke Jumamosi Dar Live, Snura kuliteka jukwaa

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini, Snura Mushi “Mamaa Majanga” atapamba mashindano ya Miss Uni-College Temeke 2014 yaliyopangwa kufanyika kwenye ukumbi wa Dar Live Mbagala Jumamosi.  Mbali ya Snura ambaye atafanya shoo kwa kutumbuiza nyimbo zake zote kwa mara ya kwanza, pia bingwa wa masindano ya Tikisa dance 2012 Hassan Jigoro naye atapamba mashindano hayo yatakayoshirikisha juma ya warembo 12 kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu vilivyomo manispaa ya Temeke.  Warembo hao ni...

 

11 years ago

GPL

MISS UNI-COLLEGE TEMEKE WATEMBELEA GLOBAL, KUCHUANA JUMAMOSI HII DAR LIVE

Warembo wanaowania taji la Miss Uni-College Temeke wakiwa na magazeti ya Global Publishers. Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akifafanua jambo kwa warembo hao.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani