Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS UNI-COLLEGE TEMEKE WATEMBELEA GLOBAL, KUCHUANA JUMAMOSI HII DAR LIVE

Warembo wanaowania taji la Miss Uni-College Temeke wakiwa na magazeti ya Global Publishers. Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akifafanua jambo kwa warembo hao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MISS UNI-COLLEGE TEMEKE KUCHUANA J'MOSI HII DAR LIVE

Warembo wanaowania shindano la kumsaka Miss Uni-College Temeke watachuana katika fainali zitakazofanyika Jumamosi ya Mei 17 mwaka huu katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mshindi wa shindano hilo atajizolea zawadi kibao ikiwemo fedha taslimu shilingi 300,000/= na shopping ya nguvu yenye thamani ya shilingi 250,000/= kutoka duka la Robby One… ...

 

11 years ago

Michuzi

Miss Uni College Temeke Jumamosi Dar Live, Snura kuliteka jukwaa

Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini, Snura Mushi “Mamaa Majanga” atapamba mashindano ya Miss Uni-College Temeke 2014 yaliyopangwa kufanyika kwenye ukumbi wa Dar Live Mbagala Jumamosi.  Mbali ya Snura ambaye atafanya shoo kwa kutumbuiza nyimbo zake zote kwa mara ya kwanza, pia bingwa wa masindano ya Tikisa dance 2012 Hassan Jigoro naye atapamba mashindano hayo yatakayoshirikisha juma ya warembo 12 kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu vilivyomo manispaa ya Temeke.  Warembo hao ni...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE

Baadhi ya wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi kwa picha wakati wakimsubiri Bella kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo. Wanamuziki wa Malaika Music Band wakipozi na Mwandishi wa tovuti hii, Gabriel Ng'osha. PREZIDAA wa Malaika Music Band, Christian Bella, anatarajiwa kutua jijini Dar muda wowote kuanzia sasa akitokea nchini Sweden. Baadhi ya mashabiki pamoja na wasanii wenzake wa… ...

 

11 years ago

Michuzi

GLOBAL BREAKING, TAMASHA LA JOGGING WAAHIDI MAKUBWA DAR LIVE J’PILI HII

Kutoka kushoto ni mratibu mwenza wa Tamasha la Jogging, Mashauri, Mratibu wa Jogging, KP, Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, Mratibu wa Matukio wa Global, Luqman Maloto na Meneja wa Stamina, Said Ramadhani 'Kabwela'. Abdallah Mrisho akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mkutano ukiendelea. Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo. Mwanamuziki wa Bendi ya Msoondo Ngoma, Said Mabela akizungumzia maandalizi yao katika bonanza hilo.

Mambo...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL BREAKING, TAMASHA LA JOGGING WAAHIDI MAKUBWA DAR LIVE J’PILI HII

Kutoka kushoto ni mratibu mwenza wa Tamasha la Jogging, Mashauri, Mratibu wa Jogging, KP, Meneja wa Global Publishers, Abdallah Mrisho, Mratibu wa Matukio wa Global, Luqman Maloto na Meneja wa Stamina, Said Ramadhani 'Kabwela'. Abdallah Mrisho akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi wa habari (hawapo pichani)…

 

11 years ago

GPL

MISS USTAWI 2014 WATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Warembo wanaowania taji la Miss Ustawi wa Jamii wakipozi ndani ya ofisi za Global. Mmoja wa mamiss hao akipata maelezo kutoka kwa Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Amani na Risasi Jumamosi, Eric Evarist (katikati). Kushoto ni Mwandishi Gladness…

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Tanzania 2014 kufanyika Mlimani City jumamosi hii

Mkurugenzi wa Kampuni ya Rino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kulia) akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo,juu ya onyesho la Redd's Miss Tanzania 2014 linalotarajiwa kufanyika Oktoba 11,2014 katika Ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Redd's ambao ni Wadhamini Wakuu wa Mashindano hayo,Victoria Kimaro na kushoto ni Meneja Maria Stopes Tanzania,Anna Shanalingigwa.Picha zote na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani