Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC: Vijana jiungeni Veta

MKUU wa  Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza  Mwamlima, amewataka  vijana  kujiunga  na mafunzo  ya  VETA wanapomaliza elimu ya msingi, ili  waweze kupata elimu ya kujiajiri. Mwamlima alitoa wito huo juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Vijana waliohitimu VETA watakiwa kujiajiri

 

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya mafunzo na ufundi stadi VETA Kanda ya Magharibi Tabora Dokta Gerson Nyadzi amewataka vijana waliohitimu elimu ya ufundi kujiajiri badala ya kutegemea ajira rasmi ambayo kwa sasa ni finyu.

Wahitimu wa fani mbalimbali wa chuo cha ufundi stadi VETA mkoa wa Tabora wametakiwa kutekeleza lengo la Serikali la kuanzisha chuo hicho kwa kuitumia elimu waliyoipataka kujiajiri wenyewe ili kupambana na soko la ajira nchini.

Dr. Gerson Nyadzi ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...

 

10 years ago

Michuzi

HUC YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO YA UFUNDI VETA, VIJANA CHANGAMKIENI

Na Nathan Mpangala wa HUC.
Shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), linatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya ufundi VETA kwa vijana wa Kitanzania. Kozi hizo ni ufundi wa magari, umeme wa magari, udereva magari/pikipiki, ufundi cherehani, hair dressing (urembo), mapambo ya ukumbi na nyinginezo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo, inasema, HUC, itafadhili wanafunzi 15 wa kozi mbalimbali za awali VETA kwa mwaka 2014-2015.
Walengwa ni vijana wa...

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA WALIOFADHILIWA MASOMO YA UFUNDI VETA NA HELP FOR UNDERSERVED COMMUNITIES INC. (HUC) WAHITIMU

 NI FURAHA TELE. Mwalimu wa kozi fupi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma (VETA) – Dar es Salaam, Bi. Bertha Ogwal, kushoto, akimkabidhi Bi. Jamila Mwenda, ripoti ya mahudhurio ya kozi ya awali ya usekretari/kompyuta, hivi karibuni. Jamila ni miongoni mwa vijana 11 toka mikoa mbalimbali nchini waliofadhiliwa masomo na shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), lenye makao yake Marekani, ambalo linayosaidia upatikanaji wa maji safi na...

 

5 years ago

Michuzi

VETA, Plan International kufungua milango ya ajira kwa vijana 400 mkoani Mwanza

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Plan International, kutoa mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana 400 mkoani Mwanza kupitia mradi wa Vijana na Ubunifu katika Kazi (VUKA).

Akizungumza wakati wa tukio la utiaji saini makubaliano hayo leo tarehe 21 Februari, 2020 katika ofisi za VETA Makao Makuu Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Plan International Tanzania Dkt. Mona Girgis amesema kuwa makubaliano hayo yanalenga hasa...

 

10 years ago

GPL

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ufundi Stadi-VETA Leah Lukindo akizungumza wakati akifungua rasmi warsha hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Giraffe-Dar esSalaam. Washiriki wa warsha hiyo ambao ni wadau wa viwanda vya umeme na magari wakisikiliza kwa makini hotuba ya mgeni rasmi.…

 

10 years ago

Michuzi

VETA YAKUTANA NA WADAU WA VIWANDA VYA UMEME NA MAGARI KUJADILI KUHUSU MRADI WA MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA VETA KWA KUSHIRIKIANA NA VIWANDA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA) imekutana na wadau wa viwanda vya umeme na magari jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa mradi wa mafunzo yanayotolewa na VETA kwa kushirikiana na viwanda ujulikanao kama Dual Apprenticeship Training Project.
Mradi huo uliopo kwenye majaribio tangu kuanzishwa kwake mwaka 2011 kwa ushirikiano kati ya Hamburg Chamber of Skills Craft ya Ujerumani na VETA,unalenga kuandaa idadi kubwa ya mafundi stadi wenye ujuzi zaidi kwa vitendo kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa: Jiungeni mtandao wa wanataaluma

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mahmoud Mgimwa amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kujiunga na Mtandao wa Wanataaluma (TNP) ili waweze kupata elimu bora juu ya ujasiliamali. Akizungumza jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Watanzania jiungeni mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSPF’

WATANZANIA wameshauriwa kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari wa mfuko wa Pensheni wa PSPF, ili kujiongezea kipato na kuishi maisha ya staha. Ushauri huo ulitolewa mwishoni mwa wiki mjini...

 

10 years ago

IPPmedia

Minister for online VETA courses


IPPmedia
Minister for online VETA courses
IPPmedia
Minister for Labour and Employment, Gaudensia Kabaka yesterday suggested the need for the Vocational Education and Training Authority (VETA) to make better use of Information and Communication Technology (ICT) by introducing online courses to ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani