Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Delivery of Ruling in Respect of Rev. Christopher R. Mtikila V. United Republic of ...


Delivery of Ruling in Respect of Rev. Christopher R. Mtikila V. United Republic of ...
AllAfrica.com
On Friday 13 June 2014, the African Court on Human and Peoples' Rights (the Court) will deliver a Ruling at its seat in Arusha (Tanzania), in respect of an Application for reparations relating to the matter of Rev. Christopher R. Mtikila v. United Republic of ...

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kwaheri rafiki yangu Christopher Mtikila

NILIANZA kuwa mwandishi wa habari miaka 13 iliyopita na bado nakumbuka wanasiasa wawili wa mwanzo

Ezekiel Kamwaga

 

9 years ago

Raia Mwema

Pengine Mchungaji Christopher Mtikila aliwahi mno kuzaliwa Tanzania!

NIKIWA kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Pugu kati ya mwaka 1992 na1994, nilikuwa

Kitila Mkumbo

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Mchungaji Christopher Mtikila afariki dunia leo alfajiri

ChristopherMtikila

Taarifa zilizotufikia hivi punde katika chumba chetu cha habari, Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (pichani) amepata ajali na kufariki dunia alfajiri ya leo eneo la Msolwa-Chalinze.

Modewji blog inaungana na wanachama wa DP pamoja na watanzania wote katika kuomboleza kifo cha Mchungaji Mtikila, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Mchungaji Mtikila Amen.

mtikila

Pichani ni gari iliyopinduka na kumuua Mchungaji Mtikila.

Taarifa za kifo chake...

 

9 years ago

Vijimambo

BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA KIFO CHA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Nchini, Peter Mziray (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu kuahirishwa kwa kikao cha baraza hilo kilichokuwa kifanyike Oktoba 6 na r7, 2015 kutokana na kifo Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila. Kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa, Sisty Nyahoza na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa na Rais wa ADA, John Chipaka.Msajili Msaidizi wa...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI

Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch Christopher Mtikila amefariki dunia kwa ajali ya gari kijiji iliyotokea cha Msolwa, Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali.
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV

 

9 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA

8Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na ndugu na Jamaa wa Mwenyekiti wa Chama cha DP Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, wakati wa kuaga mwili leo Oct 07, 2015 katika ukumbi wa Karimjee jiji Dar es salaam.LMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho kwenye Jeneza lenye mwili wa Mwenyekiti wa Chama cha DP Marehemu Mchungaji Christopher Mtikila, leo Oct 07, 2015 katika...

 

9 years ago

Michuzi

MWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa

 Wananchi wakimsikiliza Mhe. Deo Filikunjombe wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo

Mhe. Deo Filikunjombe akiongea wakati wa mazishi ya Mwenyekiti wa  chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe leo Mhe DeomFilikunjombea akitoa mkono wa pole  kwa wafiwa  katikati ni mjane Mama Georgina  Mtikila. Waombolezaji wakiwa msibani Mhe Deo Filikunjombe na...

 

10 years ago

Michuzi

COMMENCEMENT ADDRESS BY H.E. MRS. LIBERATA MULAMULA, AMBASSADOR OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO THE UNITED STATES AND MEXICO, AT THE SCHOOL OF DIPLOMACY AND INTERNATIONAL RELATIONS, SETON HALL UNIVERSITY

Last  Friday (  May 15) Ambassador Liberata Mulamula delivered  a  Keynote address at the School of Diplomacy's 2015 Graduation Commencement and Hooding Ceremony.
 The event took place at the Seton Hall University in New Jersey City. In her address which was  extremely well received by the audience,   Ambassador  Mulamula, who is also  the School's Board Member of Overseers,  touched upon some challenges facing the  international community at a time where the United Nations Commemorates her...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani