Demo Lovato kutoka katika vipindi vya watoto hadi jaji X Factor
“Siyo kazi rahisi kwa mwanamuziki aliyeingia kwenye fani muda mfupi kama mimi kukaa meza moja na kufanya kazi moja ya kuhukumu na kuamua na wanamuziki wakongwe kama Simon Cowell, Music L.A. Reid na mkali wa miondoko ya pop Britney Spears,†hayo ni maneno ya mwanamuziki kinda Demo Lovato, ambaye alishiriki mwaka huu katika shindano la muziki maarufu nchini Marekani la The X Factor.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BWb9lieocYg/Xm576iT33WI/AAAAAAALjyE/wIOIxWqFs-wusM9tRKPObkonlBwL9KdHACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC2.jpg)
Naibu Waziri Shonza:Filamu ya Dalton ni inafaa kwa vipindi vya watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-BWb9lieocYg/Xm576iT33WI/AAAAAAALjyE/wIOIxWqFs-wusM9tRKPObkonlBwL9KdHACLcBGAsYHQ/s640/PIC2.jpg)
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza (katikati)akifungua CD ya Filamu ya Dalton kuashiria uzinduzi wa filamu hiyo leo jijini Mwanza,wakwanza kulia ni Katibu Tawala Wilaya ya Nyamagana Jonas Maduhu na kushoto ni Mtayarishaji wa Filamu hiyo Bw.Cherrif Daudi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIC1.jpg)
Naibu Waziri Mhe.Juliana Shonza akisisitiza kusambazwa kwa filamu ya Dalton katika vituo vya televisheni mbalimbali nchini ikiwemo TBC ili filamu hiyo itumike kutoa elimu kwa watoto ionyeshwe katika vipindi vya watoto,leo jijini Mwanza alipokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6L5hslOlMac/VQwQcJ9tXFI/AAAAAAAHLn0/AiiJE611NW0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-20%2Bat%2B3.19.10%2BPM.png)
9 years ago
MichuziVIPINDI VYA MAMA MISITU KUHUSU UZALISHAJI WA MKAA ENDELEVU KUFANYIKA KATIKA HOTELI YA NEW AFRIKAJIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjNDg8n45M8/VQ7A6s_G_RI/AAAAAAAHMMA/RDIeg3wsJO8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-22%2Bat%2B4.05.04%2BPM.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NvrXwR0-KmU/XrFYvmTrqGI/AAAAAAALpNc/8riy89xu58A0JXfWxWPbOKS8bVdBmXAcwCLcBGAsYHQ/s72-c/1567a6b1-59ad-4277-a474-44117aa34c8e.jpg)
VIFO VYA WATOTO WACHANGA VIMEPUNGUA KUTOKA 25 KWA KILA VIZAZI HAI 1000 HADI SABA KWA KILA VIZAZI HAI 1000
Na WAMJW – Dar es Salaam
05/05/2020 Vifo vya watoto wachanga wenye umri wa chini ya siku 28 vimepungua kutoka 25 kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwaka 2015/16 na kufikia saba kwa kila vizazi hai 1000 kwa mwezi Machi mwaka huu.
Hayo yamesemwa leo jijini jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wakati akipokea msaada wa vifaa kinga, mabango,vipeperushi na vifaa vya kutoa elimu kwa Umma kuhusu ugonjwa wa Corona kutoka kwa Benki ya Absa...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Miaka 10 ya THT: Kutoka uzalishaji wa vipaji vya muziki hadi ubunifu
Kama umewahi kusikia kuhusu kituo cha Tanzania House of Talent (THT) na ukajua kwamba kinajishughulisha na uzalishaji wa vipaji vya sanaa ya muziki, hivi sasa kituo hicho kimetangaza mwelekeo mpya baada ya kutimiza miaka 10.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U9xMl4ww11c/VLuReEr_QUI/AAAAAAAG-I0/OpQe2ESskuU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-18%2Bat%2B1.53.39%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi17 Aug
MKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA KILIMO
![IMG_0085](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qKxGZqsDbFN0NBDqCJOtDHlKDIHtvAIwDX7eyUvKdeCllMAugiBZG7PVCecC3HJyZn__u77mXAzNV_nQpsay_xV93Hu5a_2tsJgNybVAPq8DmLHTbFIlNvE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0085.jpg?w=627)
![IMG_0073](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/adyolhI3A24XVU4AwfU5JvFjML6U2xsoxQqLY8r-1fr9xbfmdRHbGN4WgstnpIxMwMv9mP433KSLEIiSTe_-SwYMIc4JItAugZsBiK5EDql77Lb11gRF-xg=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0073.jpg?w=627)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania