Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DESIGNER KATONA AZINDUA STYLE MPYA YA MAKOTI (ZIP KOTI)


Ni usiku wa kuamkia leo Jumapili ya tarehe 9, August 2015 ambapo 'Regence Hotel' iliopo Mikocheni maeneo ya kwa Nyerere Jijini Dar es salaam kilinuka vilivyo na 'Fashion Show' Iliyo balikiwa jina la 'ZIP KOTI' design mpya kutoka kwa Designer wa mavazi ambaye anachipkia kwa kasi hapa home Tz, Didas Ktona a.k.a Katona ikiwa aliwahi kufanya kazi na mastaa wakubwa kama Mrisho Mpoto, Mzee Yussuf nk. Hata hivyo Fashion Show ilihudhuriwa na Designers na wasanii wakubwa kama Asya Idarous mwigizaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AWARD WINNING FASHION DESIGNER LINDA BEZUIDENHOUT IS THE DESIGNER OF YEAR (2014) FOR VIVA INTERNATIONALE MAGAZINE

Below are the photos of the magazine photo shoot with Photographer ANDREW WALKERClick soma zaidi for more photos


 

11 years ago

Michuzi

AWARD WINNING DESIGNER EXTRAORDINAIRE Linda Bezuidenhout official designer of the Ms. Georgia Plus America 2014, Miss TANESHA SMART PAGEANT

Tanzanian Atlanta-based Designer Linda Bezuidenhout ( LB ) will design a formal gown for Ms. Tanesha, that will be worn at the Nationals Finals of the Miss Plus America 2014 which will be held in Georgia at the Westin Hotel & Resort ( last year they were in Louisiana and the best dress winner was a Linda Bezuidenhout dress, worn by Mrs Alabama Octavia Mcclandon). This year the nationals of MISS AMERICA PLUS PAGEANTS will be held in Atlanta  Georgia starting  July 1st to 5th.
Linda...

 

11 years ago

Habarileo

‘Tanzania Bara itavua koti la Muungano’

MWENYEKITI wa Kamati namba Sita ya Bunge Maalum la Katiba, Stephen Wassira amesema kamati yake imependekeza Tanzania Bara kuvua koti la Muungano, linalodaiwa kuvaliwa ili koti hilo sasa livaliwe na pande zote za Tanzania Bara na Zanzibar, kama njia ya kuimarisha Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

‘JK vua koti la CCM, vaa la urais’

Rais Jakaya Kikwete ameshauriwa kunusuru mchakato wa kupata Katiba Mpya ili usisimame kwa kuvua koti la Uenyekiti wa CCM na kubaki na Urais ili awaeleze wananchi nini cha kufanya kupata Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Makoti ya madaktari yanahatarisha afya za wagonjwa

>Historia inaonyesha kuwa madaktari walianza kuvaa makoti kama vazi la kazi takribani miaka 100 iliyopita. Kuanzia miaka ya 1800 hadi kufikia mwaka 1915 lilikuwa ni jambo la kawaida kwa daktari kuvaa koti anapowahudumia wagonjwa.

 

11 years ago

GPL

WAUZAJI WA MAGAZETI JIJINI DAR WAPEWA MAKOTI YA MVUA NA GLOBAL PUBLISHERS

Wauzaji wa magazeti wa Magomeni wakiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Global Benjamin Mwanambuu (katikati) na John Mwaipaja (wa kwanza kulia).…

 

11 years ago

GPL

MR CHAMPIONI, AGAWA MAKOTI YA MVUA KWA WAUZAJI WA MAGAZETI JIJINI DAR

Wauzaji  wa magazeti(waliosimama) wakiwa wamevaa makoti ya mvua baada ya kupewa na Mr Championi(hayupo pichani), waliochuchumaa ni wafanyakazi wa Global Publishers. Mr Championi(kushoto) akiwakabidhi makoti ya mvua wauza magazeti katika  kituo cha Ubungo jijini Dar, Shinda Mahela na Championi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani