Dewji abanwa mbavu
NA MARIAM MZIWANDA BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma, limemuhoji Meya wa Tabora, Gullam Dewji, kutokana na tuhuma za kutumia madaraka yake vibaya kwa maslahi binafsi, ikiwemo matumizi ya fedha za manispaa sh. milioni 2.6, alizotumia katika safari nchini Marekani. Awali, akisomewa hati ya mashtaka na Mwanasheria wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus, Dewji anatuhumiwa katika mashitaka matatu, likiwemo kutumia madaraka yake vibaya kwa kujinufaisha binafsi. Dewji...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Oct
DC Gambo abanwa
10 years ago
Habarileo10 Apr
Gwajima abanwa
MAHOJIANO baina ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na Jeshi la Polisi yaliyokwama wiki iliyopita kutokana na kuzorota kwa afya ya askofu huyo, yaliendelea jana saa sita huku akitakiwa kuwasilisha nyaraka muhimu kumi siku ya mahojiano mengine yatakayofanyika wiki ijayo.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Mkandarasi umeme abanwa
SERIKALI imemwagiza mkandarasi anayeshughulikia Mradi wa Umeme Vijijini (REA) mkoani Singida, Spencon ya nchini Kenya kukamilisha ujenzi huo ifikapo Mei 31 mwaka huu vinginevyo atachukuliwa hatua za kisheria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3d31H8i-xQqPjNe0DOE-qdPza2ujNCOBkjKvfJXujBzdj0OOT6T8CXwXK3Xf6IyfCIlYkHCJB922fMyaSVTOYZ2/BACKUWAZI.gif?width=650)
TAJIRI J4 MWANZA ABANWA
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
JK abanwa Bunge la Katiba
WAKATI Rais Jakaya Kikwete, akikutana na vyama vya siasa kutafuta maridhiano ya mchakato wa Katiba, Jukwaa la Wakristo Tanzania, limetoa tamko zito lenye masuala sita, likimwomba Rais aliahirishe Bunge Maalum...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNO22efL5ap2JrTk*olfT5vehos*HyTtGr5k76KcF9*EXkBpUxdt6*G5PSkEbjmMYlFdHcBL5gybCG*QsxeAn3Pv/IjumaaFrontPage.gif?width=650)
DIAMOND ABANWA KUMSALITI MEMBE
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mke wa Rais Mugabe abanwa
MSHINDI wa tuzo ya uandishi nchini Zimbabwe Chenjerai Hove, amemtaka mke wa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Grace Mugabe, kurejesha Shahada yake ya Uzamivu (PhD).
9 years ago
Habarileo08 Oct
Gwajima abanwa na ‘watoto wake’
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amepewa siku 14, na wanaodai kuwa watoto wa marehemu kaka yake, Faustine Gwajima, kumfufua baba yao huyo, vinginevo watamfikisha mahakamani kwa kile walichodai kusababishiwa athari kisaikolojia kwa muda mrefu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmEjU9MAUVqKCNsP541Q9rXYGH5gAqqjp2yAzRpIHbd7drpnrFJOzyCovrd2tzubtASUc1qfcJV6Bjr*bThEoAQ/drtete.gif?width=650)
RAY ABANWA MTOTO WA JOHARI, AFUNGUKA!