Diamond akabidhiwa milioni 14 za ujenzi
NA MWALI IBRAHIM
MWANA Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Apr
Diamond alipwa milioni 14 za ujenzi baada ya ukuta wa nyumba yake kuanguka.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya kurekodi wimbo...
10 years ago
GPLMBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
10 years ago
GPLMSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/= AKABIDHIWA KITITA CHAKE
10 years ago
MichuziALIYEJISHINDIA MILIONI 100 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
5 years ago
MichuziDC KATAMBI AKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUPAMBANA NA CORONA
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akipokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa Corona kutoka kwa Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dk Dickson Chilongani leo. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona vilivyotolewa na Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma Baadhi ya vifaa ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Corona vilivyotolewa leo na Kanisa la Anglikana...
11 years ago
GPLMSHINDI WA MILIONI 10 ZA CHAMPIONI SHINDA MAHELA AKABIDHIWA MPUNGA WAKE
10 years ago
MichuziMshindi mwingine wa milioni 100 za Jaymillions akabidhiwa kitita chake
10 years ago
GPLMKULIMA WA KATAVI ALIYEJISHINDIA MILIONI 10 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
10 years ago
Bongo523 Feb
Mshindi wa milioni 1/- kupitia promosheni ya JayMillions akabidhiwa kitita chake