Diamond akabidhiwa milioni 14 za ujenzi
NA MWALI IBRAHIM
MWANA Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Apr
Diamond alipwa milioni 14 za ujenzi baada ya ukuta wa nyumba yake kuanguka.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
10 years ago
GPL
MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
10 years ago
GPL
MSUSI ALIYEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10/= AKABIDHIWA KITITA CHAKE
10 years ago
Michuzi
ALIYEJISHINDIA MILIONI 100 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE

5 years ago
Michuzi
DC KATAMBI AKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 16 KUPAMBANA NA CORONA



11 years ago
GPLMSHINDI WA MILIONI 10 ZA CHAMPIONI SHINDA MAHELA AKABIDHIWA MPUNGA WAKE
10 years ago
Michuzi
Mshindi mwingine wa milioni 100 za Jaymillions akabidhiwa kitita chake

10 years ago
GPL
MKULIMA WA KATAVI ALIYEJISHINDIA MILIONI 10 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
10 years ago
Bongo523 Feb
Mshindi wa milioni 1/- kupitia promosheni ya JayMillions akabidhiwa kitita chake