Diamond alipwa milioni 14 za ujenzi baada ya ukuta wa nyumba yake kuanguka.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RuR6i-80O60/VRDoi0WPZXI/AAAAAAAAC_Y/PmnhJ4XQPzU/s72-c/NYUMBA.jpg)
UKUTA WA NYUMBA YA DIAMOND WAPIGA MWELEKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RuR6i-80O60/VRDoi0WPZXI/AAAAAAAAC_Y/PmnhJ4XQPzU/s1600/NYUMBA.jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Diamond akabidhiwa milioni 14 za ujenzi
NA MWALI IBRAHIM
MWANA Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla ukuta wa nyumba yangu ya Tegeta ukaanguka wakati huo nilikuwa natakiwa kulipia fedha kwa ajili ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DIAMOND-TIFFAHS-40-5.jpg)
NYUMBA YA DIAMOND SI YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsDIU8Y-KN*Ib8Si8M1xmpAxTUtUoxUvhYBpteKZ9no1sCyxFDwrJgNpub9tKdjaL4GkT5VnWiqXfqBEynvrqrV/gari.jpg?width=650)
DIAMOND AMZAWADIA MAMA YAKE GARI LA MILIONI 38
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s72-c/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
LUGUMI ENTERPRISES LTD YAKABIDHI PAMPU YA MAJI NA SHILINGI MILIONI 10 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU MAGU SEKONDARI MAGU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jrwh9QAHxC0/Ux7XjrYuAII/AAAAAAAA0XM/ap7kTrxkqhc/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-56yGXK3Z8Bg/Ux7XpPgzyDI/AAAAAAAA0Xk/F273sQf6TGU/s1600/01.RAN+IT+SOLUTIONS+EA+LTD.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PICHA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIMPIKIA ZARI NA KUMLISHA KATIKA NYUMBA YAKE MPYA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh6.ggpht.com%2F-VNAjpLWUvTk%2FVROHgh1k1nI%2FAAAAAAAARD8%2Fu1In5rOaYK0%2Fs640%2FPhotoGrid_1427343450623.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
MichuziRC Wangabo aagiza “Special Audit†huku zaidi ya Milioni 660 kutofahamika matumizi yake katika ujenzi hospitali ya Wilaya.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_S5nMO24-pw/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...