NYUMBA YA DIAMOND SI YAKE
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/DIAMOND-TIFFAHS-40-5.jpg)
Nyumba ya Diamond inayodaiwa si yake. GLADNESS MALLYA IMELDA MTEMA IMEVUJA! Ile nyumba ya kifahari iliyoaminika ni ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imefahamika kuwa siyo yake kama wengi walivyokuwa wakifahamu. Diamond Platinumz. Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na maneno ya wambeya yaliyokuwa yakielekezwa kwa mama mzazi wa staa huyo, Sanura Kasimu ‘Sandra’ mitandaoni kwamba kwa nini asiondoke kwenye nyumba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Apr
Diamond alipwa milioni 14 za ujenzi baada ya ukuta wa nyumba yake kuanguka.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PICHA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIMPIKIA ZARI NA KUMLISHA KATIKA NYUMBA YAKE MPYA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh6.ggpht.com%2F-VNAjpLWUvTk%2FVROHgh1k1nI%2FAAAAAAAARD8%2Fu1In5rOaYK0%2Fs640%2FPhotoGrid_1427343450623.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bafTDVwiWzpW*maIXu24e175Mjic2OEGq6YzTVA6wb6KKL2CI**Rjt-Y9J3L6ccOc4Bwc*PTz9tW7UwGV6BmoM/Tiko.gif?width=650)
TIKO AMEKIMBIA NYUMBA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWDxijXQgoUqiyiUCpc7komcc3TjLcGZ708Dm3Pi9kvMpNSZq5E-hgPP0JGZvkm01hnj7CeB3YBE4BCx3dpBleq/Diamond.jpg)
MAFURIKO YAIZENGEA NYUMBA YA DIAMOND
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Pistorius kuuza nyumba yake ya kifahari
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Zuma kujieleza kuhusu nyumba yake