Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIKO AMEKIMBIA NYUMBA YAKE

Gladness Mallya
MWANADADA kutoka tasnia ya filamu na muziki Bongo, Tiko Hassan ameikimbia nyumba aliyokuwa akiishi maeneo ya Mwananyamala jijini Dar kutokana na mambo ya kishirikina.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Tiko alisema kuwa, ameamua kuihama nyumba hiyo licha ya kwamba kodi yake haijaisha kufuatia maruweruwe yaliyokuwa yakimpata nyakati za usiku. Mwanadada kutoka tasnia ya filamu na muziki Bongo, Tiko Hassan....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika  kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.

Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...

 

9 years ago

Michuzi

Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara

Mmoja ya washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa inaendeshwa na Vodacom Tanzania iliyomalizika mwezi Aprili mwaka huu Irene Mrema, amesema tangu aibuke na ushindi amepata mafanikio makubwa mojawapo ikiwa ni kuweza kujenga nyumba ya kuishi na familia yake maeneo ya Goba nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. “Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunikwamua kimaisha kupitia Jaymillion ya Vodacom kwa kuwa imeleta mafanikio makubwa katika maisha yangu na...

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA DIAMOND SI YAKE

Nyumba ya Diamond inayodaiwa si yake. GLADNESS MALLYA IMELDA MTEMA IMEVUJA! Ile nyumba ya kifahari iliyoaminika ni ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imefahamika kuwa siyo yake kama wengi walivyokuwa wakifahamu. Diamond Platinumz. Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na maneno ya wambeya yaliyokuwa yakielekezwa kwa mama mzazi wa staa huyo, Sanura Kasimu ‘Sandra’ mitandaoni kwamba kwa nini asiondoke kwenye nyumba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zuma kujieleza kuhusu nyumba yake

Rais Jacob Zuma anatarajiwa kufika mbele ya kamati ya Bunge la A-Kusini kujieleza kuhusu kashfa ya kufuja pesa za umma zilizotumiwa kukarabati nyumba yake

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius kuuza nyumba yake ya kifahari

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorious atauza nyumba yake ili aweze kumudu gharama ya kesi ya mauaji inayomkabili.

 

9 years ago

Mtanzania

Selena Gomez atangaza kuuza nyumba yake

Selena GomezLAS VEGAS, MAREKANI

MPENZI wa zamani wa msanii wa Pop, Justin Beiber, Selena Gomez, ametangaza kuuza nyumba yake yenye ukubwa wa mita za mraba 7,700.

Mrembo huyo ameitumia nyumba hiyo kwa mwaka mmoja na nusu, lakini kwa sasa ametangaza kuiuza kwa kitita cha dola milioni 3.7.

Selena alisema sababu za kutangaza kuuza nyumba hiyo ni kwamba mwakani hatokuwa na muda wa kukaa kwenye nyumba hiyo kutokana na ratiba yake kumbana na mizunguko ya kibiashara.

“Ninahisi ninafanya maamuzi sahihi ya kuuza...

 

11 years ago

GPL

Yondani amjengea baba yake nyumba ya kifahari

Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa, Beki wa Yanga, Kelvin Yondani, amemhamisha mji baba yake mzazi mzee Patrick Yondani kutoka Mwanza na kuhamia Dar es Salaam.
Yondani amekuwa na mafanikio makubwa katika kuichezea Yanga kutokana na umahiri wake ambapo amekuwa akiisaidia kutokana na kuwa beki bora. Kikizungumza na Championi Jumatatu, chanzo cha kuaminika kutoka Mwanza kinachokaa karibu na mzee huyo, kimeeleza...

 

10 years ago

GPL

KAPTENI KOMBA AFUNGUKIA NYUMBA YAKE KUPIGWA MNADA

Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba. Stori: SHANI RAMADHANI
Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), amekanusha habari zinazoendelea kuzagaa kwamba nyumba yake iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imepigwa mnada na benki moja kutokana na madai ya kushindwa kulipa deni alilokuwa akidaiwa. “Mheshimiwa anadaiwa na benki kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba hajazikwa, watoto wanagombea kuuza nyumba yake!

SINA hakika kama watu wote duniani wana kawaida ya kurithi mali za wazazi wao pindi wanapofariki, lakini nina uhakika utamaduni huu upo kwa sehemu kubwa sana katika jamii zetu sisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani