Yondani amjengea baba yake nyumba ya kifahari
![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIm*TB2glCwkaD-o8ntuAi8Fa1RlIP1pBphPdkUPDqS5KZmkE3tWh9kCEZ7kgcTCNoGDoKZeT*K88eBnq-rKzrW/yondani.jpg?width=650)
Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai IMEBAINIKA kuwa, Beki wa Yanga, Kelvin Yondani, amemhamisha mji baba yake mzazi mzee Patrick Yondani kutoka Mwanza na kuhamia Dar es Salaam. Yondani amekuwa na mafanikio makubwa katika kuichezea Yanga kutokana na umahiri wake ambapo amekuwa akiisaidia kutokana na kuwa beki bora. Kikizungumza na Championi Jumatatu, chanzo cha kuaminika kutoka Mwanza kinachokaa karibu na mzee huyo, kimeeleza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Pistorius kuuza nyumba yake ya kifahari
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Baba hajazikwa, watoto wanagombea kuuza nyumba yake!
SINA hakika kama watu wote duniani wana kawaida ya kurithi mali za wazazi wao pindi wanapofariki, lakini nina uhakika utamaduni huu upo kwa sehemu kubwa sana katika jamii zetu sisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbx2mRmi3e79ZiE4IuddfJQ9O2PNsRZeO5DxjXpFf17lnEwVgHBADn8qj0bOmVzzO8Eo7TGdFttcWCyU2XKVdNM/bobani.jpg?width=650)
Baba Yondani awavaa Yanga
10 years ago
Bongo523 Jan
Picha: Idris Sultan anunua nyumba hii ya kifahari!
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Lulu Amzawadia Nyumba Mama Yake Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael, ‘Lulu’siku ya jana alimfanyia sherehe mama yake mzazi kwa kufikisha miaka 45 ya kuzaliwa ilyofanyika kwenye hoteli ya Great Wall, Masaki ambapo mastaa kadhaa wa hapa bongo walihudhuria sherehe hiyo ambapo inadaiwa kuwa mbali kuandaa sherehe hizo mwanadada Lulu alimzawadia jumba mama yake ambayo inasemekana ipo Kimara hapa jijini Dar.
Hii ni kwa mijibu wa mwigizaji Flora Mvungi “H mama”ambae ni moja kati ya mastaa kadhaa waliohudhuria...
9 years ago
MichuziMWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*ayvxdq1jlaIDGEN2M1s6fM1cbzXd5T9mAmBu3fOcerabpic3hQ7T*rSTwRVpK9ZD4chlaNM81uIbu9WAcVK2-/BACKIJUMAA.jpg)
RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Kwanini umuombee baba yako afe ili urithi nyumba?
Katika moja ya makala zangu za siku za nyuma kupitia kona hii hii, niliwahi kudokeza machache juu ya wanafamilia fulani ambao waliamua kurushiana masumbwi wakigombea mali za kurithi kutoka kwa...