Kwanini umuombee baba yako afe ili urithi nyumba?
Katika moja ya makala zangu za siku za nyuma kupitia kona hii hii, niliwahi kudokeza machache juu ya wanafamilia fulani ambao waliamua kurushiana masumbwi wakigombea mali za kurithi kutoka kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu
Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,
“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”
Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Namna unavyoweza kuimba sauti ya ndani yako ili kupata maendeleo
11 years ago
MichuziOkoa gharama na muda wa ujenzi wa nyumba yako
9 years ago
Bongo506 Nov
Nick wa Pili aeleza kwanini wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema
![10475068_580578882090207_1870253540_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10475068_580578882090207_1870253540_n-300x194.jpg)
Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema kutokana na ujumbe wake na jinsi alivyobadilika kwenye aina ya uchanaji.
Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utakuwa ni miongoni mwa nyimbo zake zitakazoishi kwa muda mrefu zaidi.
“Kichwa cha jina la wimbo kimechangia wimbo kwenda haraka, utofauti wa kilichoimbwa, ujumbe ni wa kufurahisha sana, muundo wa chorus ni mpya, beat hata michano ni vipya ndio kitu ambacho kimewagusa watu,”...
11 years ago
MaishaPlus![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/s720x720/1660360_499621140159846_4105268875885690275_n.png)
Jumapili hii wanatoka washiriki wanne. Kura yako ni muhimu sana ili kumbakiza mshiriki umpendae
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona:Imamu na Askofu Tanzania waeleza kwanini wameamua kufunga nyumba za ibada
9 years ago
Vijimambo11 Oct
Yusufu Makamba Amla Nyama Kingunge; “Ukitaka Kumtukana Baba Yako Mshukuru Kwanza”
![Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (27)](http://aloyson.com/wp-content/uploads/2015/10/Mwakasaka_ccm_tabora-2015-27-620x411.jpg)
Yusufu Makamba, mkongwe wa siasa nchini akiongea na wananchi wa Tabora mjini.
![Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (28)](http://aloyson.com/wp-content/uploads/2015/10/Mwakasaka_ccm_tabora-2015-28-620x411.jpg)
![Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (29)](http://aloyson.com/wp-content/uploads/2015/10/Mwakasaka_ccm_tabora-2015-29-620x411.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India