Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini umuombee baba yako afe ili urithi nyumba?

Katika moja ya makala zangu za siku za nyuma kupitia kona hii hii, niliwahi kudokeza machache juu ya wanafamilia fulani ambao waliamua kurushiana masumbwi wakigombea mali za kurithi kutoka kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu

Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa  mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,

“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”

Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!

 

9 years ago

Mwananchi

Namna unavyoweza kuimba sauti ya ndani yako ili kupata maendeleo

Mwaka 2007 kuna mtu alikuja na kunieleza kuwa kila mtu ameshachukuliwa nimebaki mimi! Nikamuuliza una maana gani? Akanijibu kimkato sana, “ Wewe acha tu ishi toleo la mwingine.” Ilinichukua muda kuelewa hakika huyu mtu anamaanisha nini kwa kauli hizo.

 

11 years ago

Michuzi

Okoa gharama na muda wa ujenzi wa nyumba yako

Wakati Watanzania, katika miaka ya karibuni wamekuwa wakijitahidi kuboresha maisha yao hususan katika suala zima la ujenzi wa nyumba zilizo bora na za kisasa, upande wa pili wa harakati hizi umekuwa ni wa changamoto nyingi ambazo zimekuwa zikiwakabili wananchi katika kuzifikia ndoto zao hizo, hasa kwa upande wa gharama za vifaa vya kufanikisha ujenzi huo, lakini pale ambapo wameweza kujitahidi kuweza kufikia gharama hizo,
Katikati ya sintofahamu hii, kumekuwa na Watanzania ambao wamekuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili aeleza kwanini wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema kutokana na ujumbe wake na jinsi alivyobadilika kwenye aina ya uchanaji.

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utakuwa ni miongoni mwa nyimbo zake zitakazoishi kwa muda mrefu zaidi.

“Kichwa cha jina la wimbo kimechangia wimbo kwenda haraka, utofauti wa kilichoimbwa, ujumbe ni wa kufurahisha sana, muundo wa chorus ni mpya, beat hata michano ni vipya ndio kitu ambacho kimewagusa watu,”...

 

11 years ago

MaishaPlus

Jumapili hii wanatoka washiriki wanne. Kura yako ni muhimu sana ili kumbakiza mshiriki umpendae

Jumapili hii wanatoka washiriki wanne. Kura yako ni muhimu sana ili kumbakiza mshiriki umpendae. Je utambakiza nani kati ya Farida (MP 09), Hyasinta (MP 11), Said (MP 14), Shaaban (MP 17) na Uwamahoro (MP 27)? Mpigie kura sasa kwa kuandika namba yake mfano MP 00 na kuituma kwenda +255689666662. Maisha Plus REKEBISHA iko hewani sasa kupitia TBC1 (DStv Ch. 290).

 

10 years ago

Bongo Movies

Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?

Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula  ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.


ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.


“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Imamu na Askofu Tanzania waeleza kwanini wameamua kufunga nyumba za ibada

Nyumba za ibada nchini Tanzania zingali wazi tofauti na maeneo mengi ulimwenguni wakati huu wa janga la virusi vya corona.

 

9 years ago

Vijimambo

Yusufu Makamba Amla Nyama Kingunge; “Ukitaka Kumtukana Baba Yako Mshukuru Kwanza”

Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea Ubunge na madiwani wote wa CCM, pia azungumzia suala la Kingunge na Lowassa katika mkutano uliofanyika kituo cha zamani cha mabasi mkoani Tabora.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (27)
Yusufu Makamba, mkongwe wa siasa nchini akiongea na wananchi wa Tabora mjini.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (28)
Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (29)Yusufu Makamba akizungumzia upotofu mkubwa dhidi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu nchini India

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani