Yusufu Makamba Amla Nyama Kingunge; “Ukitaka Kumtukana Baba Yako Mshukuru Kwanza”
Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea Ubunge na madiwani wote wa CCM, pia azungumzia suala la Kingunge na Lowassa katika mkutano uliofanyika kituo cha zamani cha mabasi mkoani Tabora.
Yusufu Makamba, mkongwe wa siasa nchini akiongea na wananchi wa Tabora mjini.Yusufu Makamba akizungumzia upotofu mkubwa dhidi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Oct
Makamba ampasha Kingunge
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba amemshangaa Kingunge Ngombale-Mwiru kutamka kwamba chama hicho hakijafanya chochote wakati ndiye aliyeshiriki kuandika vitabu kadhaa vya mipango ya chama hicho.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Mtoto wa Kingunge amgeuka baba yake
MTOTO wa mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombale Mwiru, Kunje amempinga baba yake na kusema kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote kwa kushirikiana na Ukawa kama ambavyo wamekuwa wakijinadi.
9 years ago
StarTV24 Oct
Mtoto wa Kingunge alimshauri baba yake apumzike siasa
Aliyekuwa Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambaye amehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kingunge Ngombali Mwiru ameshauriwa na mwanaye Kinje kupumzika kwenye masuala ya siasa za majukwaa ili kuendelea kujitunzia heshima kama miaka ya nyuma.
Kinje amebainisha kuwa nchi hii inamuhitaji baba yake katika mambo ya msingi hususani kutunza na kuendeleza amani ambayo inapaswa kuenziwa kwa sasa tofauti na anavyofanya kada huyo aliyedai kujihusisha na siasa ambazo ameziita za...
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpjT2soSMQY/VHQIpYGBYAI/AAAAAAAGzPg/mKEF6gKKqwk/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
The Nyama Choma Festival Dar 6 Desemba -Jipatie Tiketi Yako Sasa Kwa sh 7000 tu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpjT2soSMQY/VHQIpYGBYAI/AAAAAAAGzPg/mKEF6gKKqwk/s1600/unnamed%2B(89).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Kwanini umuombee baba yako afe ili urithi nyumba?
Katika moja ya makala zangu za siku za nyuma kupitia kona hii hii, niliwahi kudokeza machache juu ya wanafamilia fulani ambao waliamua kurushiana masumbwi wakigombea mali za kurithi kutoka kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet!
![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tamasha La kwanza la The Nyama Choma Festival kwa mwaka 2015 Kufanyika Leaders Club Jumamosi Tarehe 7 February.
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4_kjl7TkRE/VM_EK7jEIKI/AAAAAAAHBII/oy0r3fdhLns/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfTkOMqXv4o9Wn6K6U1g7wq00SkXWghWl6atBDnc9bksyezqWe*gZYrwITKspcOzEjGeEBkmAKymDPR5WWfmj83/vodacom.jpg?width=650)