Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makamba ampasha Kingunge

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba amemshangaa Kingunge Ngombale-Mwiru kutamka kwamba chama hicho hakijafanya chochote wakati ndiye aliyeshiriki kuandika vitabu kadhaa vya mipango ya chama hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

Yusufu Makamba Amla Nyama Kingunge; “Ukitaka Kumtukana Baba Yako Mshukuru Kwanza”

Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea Ubunge na madiwani wote wa CCM, pia azungumzia suala la Kingunge na Lowassa katika mkutano uliofanyika kituo cha zamani cha mabasi mkoani Tabora.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (27)
Yusufu Makamba, mkongwe wa siasa nchini akiongea na wananchi wa Tabora mjini.Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (28)
Mwakasaka_ccm_tabora-2015 (29)Yusufu Makamba akizungumzia upotofu mkubwa dhidi...

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto ampasha Dk Magufuli mambo 14

Wakati Rais John Magufuli akianza kuchukua hatua za kudhibiti matumizi ya Serikali, wasomi na wanasiasa wamemtajia mambo 14 ambayo wamesema akiyazingatia atalinusuru Taifa dhidi ya gharama zisizo za lazima.

 

11 years ago

Habarileo

Mkuu wa Mkoa ampasha Mnyika

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amesema hawezi kusitisha agizo lake la pikipiki na bajaj kuingia katikati ya jiji, kwani hana mamlaka hayo, kwani anasimamia sheria.

 

10 years ago

Mwananchi

HONGERA KINGUNGE.

Watanzania tukithubutu tunaweza. Awamu ya Tano tunataka Rais anayejua matatizo ya Watanzania si kumchagua kwa kuangalia chama, ukabila, udini, uzuri wa sura, uwezo wa kifedha, ucheshi au kwa kigezo tu hana kashfa.

 

11 years ago

Habarileo

Kingunge: Sijabebwa

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewashangaa watu waliomtuhumu kuwa amebebwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

9 years ago

Mtanzania

Kingunge: Mabadiliko lazima

kingunfNA FREDY AZZAH, ARUSHA

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, jana kwa mara ya kwanza alipanda jukwaani kumnadi mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na kusema mabadiliko ni lazima.

Kingunge aliyasema hayo jijini Arusha kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni.

Kingunge alihutubia huku mvua ikinyesha, lakini wananchi waliokuwa eneo hilo hawakuondoka.

“Historia yangu, nimeshiriki katika kuleta mabadiliko na...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali 3 zamkera Kingunge

MWANASIASA wa siku nyingi na muumini wa siasa ya ujamaa, Kingunge Ngombale-Mwiru, amesema Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba imeangaliza zaidi kero za Muungano katika kudai Serikali tatu, hali ambayo inavunja Muungano.

 

9 years ago

TheCitizen

Kingunge joins campaign

Chadema presidential candidate Edward Lowassa yesterday took Arusha by storm as he addressed a rally at Sinoni Primary School grounds.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kingunge asuta viongozi

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewasuta viongozi wa Serikali akisema wameacha mfumo wa mapinduzi ya kimaendeleo aliyouanzisha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, hatua iliyoifanya Tanzania kuachwa na dunia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani