Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONGERA KINGUNGE.

Watanzania tukithubutu tunaweza. Awamu ya Tano tunataka Rais anayejua matatizo ya Watanzania si kumchagua kwa kuangalia chama, ukabila, udini, uzuri wa sura, uwezo wa kifedha, ucheshi au kwa kigezo tu hana kashfa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HONGERA BONGO FC

 (Timu ya watanzania Bongo FC yenye maskani yake Finland.Picha baada ya pambano lake na timu ya Nigeria na kufanikiwa kuzoa ushindi mnene wa mabao 4-2.)
Bongo FC miongoni mwa timu kongwe na kielelezo cha uwakilisha wa Tanzania kwenye ukanda wa nchi za 'scandnavia'.
Bongo FC imefanikiwa kuanza kampeni yake ya msimu wa majira ya kiangazi kwa kucheza michezo miwili.Mchezo wa kwanza waliifunga timu Ethiopia magoli  5-3 na mwishoni mwa juma kuifunga timu ya Nigeria 4-2.
Wafungaji wa magoli...

 

9 years ago

Bongo Movies

Hongera Kingwendu Umepigana!

RASHID Mwinshehe Mzange ‘Kingwendu’ mgombea wa Ubunge kupitia CUF aliyekuwa akiungwa mkono na UKAWA afanya kazi nzuri baada ya kupata kura takribani 8,000 nyuma ya Mbunge aliyekuwa akitetea jimbo hilo kupitia chama cha CCM ndugu Seleiman Jafo.

Kingwendu ambaye ni msanii wa vichekesho Swahilihood ambaye ni kivutio katika tasnia ya filamu aliweza kuingia katika medani za kisiasa kuwania jimbo la Kisarawe kwa kujiamini kabisa bila uoga anastahili pongezi kama msanii.

Amaeleta upinzani kwa...

 

10 years ago

Michuzi

HONGERA MWENYEKITI MPYA

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,Mh. Mboni Mhita (kushoto) akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita wakati wa hafla fupi ya kumpongeza mara baada ya kuapishwa kwake,Kimweri ni mmoja wa Wenyeviti wapya waliochagulia katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni nchini kote. Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita (katikati) akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA MZEE WA WARAKA

001_resized_5 (1)Juu na chini mwandishi wa makala katika safu ya Waraka kutoka Houston ndani ya gazeti la Raia Mwema, Innocent Mwesiga, Pharm.D na mke wake Carretta Mwesiga, FNP wakifurahia miaka 10 ya ndoa yao hivi karibuni katika visiwa vya Bahamas. (Kutoka blog hii tunawapa hongera sana) 002_resized_6(Picha kwa hisani ya Sunday Shomari).

 

10 years ago

Vijimambo

Hongera Abdul Ally


Timu ya Vijimambo inakupongeza Abdul Ally kwa kukamata nondos kutoka shule ya Bushwick High School For Social Justice. Hongera sana.

 

10 years ago

Vijimambo

Hongera Sana Dr. Slaa

 
Katika kila mwanadamu anayejitambua lazima atakuwa na kitu kinaitwa “core principles.” Yani hizi ni kanuni kuu za msingi wa maisha yako ambazo zinakupa ‘identity’ ya wewe ni nani au mtu wa namna gani! Hizi si misingi au miiko uliyo jiwekea tuu kwasababu ya kujifurahisha, hapana! Ni misingi na miiko unayoiyamini na hukotayari kuisimamia bila kutetereka kwa gharama yoyote ile. Haijalishi hata kama watu wote watakuona wewe ni mtu wa ajabu, lakini kwako itakuwa salama rohoni mwako...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hongera Amiri Jeshi Mkuu

MIAKA takriban miwili iliyopita, yaani Siku ya Ijumaa, Septemba 27, mwaka 2013, Katibu Mkuu wa Um

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

HONGERA IDRIS SEMA NINI?..

KWAKO mshindi wetu wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. Natumaini ndiyo kwanza una ‘kiraruraru’ cha ushindi wa milioni 510, hongera kwa ushindi!Mkwanja huo ni mrefu, hayo ni mafanikio yako binafsi lakini pia watanzania kwa jumla. Walikupigia kura, kweli umeshinda! Ukitaka kujua hali yangu mimi mwananchi wa kawaida niko poa, naendelea na majukumu yangu ya kila siku na huu ndiyo uwanja wangu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera Dk Magufuli, yazingatie haya

Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Jana Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ilimtangaza rasmi mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli kuwa rais mteule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani