HONGERA IDRIS SEMA NINI?..
![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOobLmiTT78Juk2N-PD7yw2S63NZMwWc48jBMPF2JOJevvpJSh-hkADGWrte6NxulNHL9qHCRQ9IU8Zlwa28i-4ij/ERICK.jpg)
KWAKO mshindi wetu wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. Natumaini ndiyo kwanza una ‘kiraruraru’ cha ushindi wa milioni 510, hongera kwa ushindi!Mkwanja huo ni mrefu, hayo ni mafanikio yako binafsi lakini pia watanzania kwa jumla. Walikupigia kura, kweli umeshinda! Ukitaka kujua hali yangu mimi mwananchi wa kawaida niko poa, naendelea na majukumu yangu ya kila siku na huu ndiyo uwanja wangu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Oct
Wanapo sema ccm hawatowi ,wanakusudia nini ?
Hivi karibuni nimeona picha za magari mazito ya polisi pamoja na mazoezi ya hapa na pale. Haya yanafanyika tunapokaribia katika kipindi muhimu zaidi katika historia ya nchi hii, kipindi ambacho kina ushindani mkubwa wa kisiasa, Kipindi […]
The post Wanapo sema ccm hawatowi ,wanakusudia nini ? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Bongo514 Dec
Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Sema wewe
Na Waandishi Wetu, Mwanza
SEMA wewe. Ndivyo unavyoweza kutamka baada ya maelfu ya wakazi wa Jiji la Mwanza kujitokeza kumpokea mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa jana.
Vilevile, Jeshi la polisi mkoani hapa lililazimika kupiga mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chadema na vyama vingine vinayounda UKAWA ambao walikuwa wamefurika uwanja wa ndege wa Mwanza.
Mabomu hayo yalianza kupigwa ya saa 6:20 mchana. Mabomu hayo yalipigwa baada ya wafuasi hao...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s72-c/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
SEMA AMEN KWA KUMSHUKURU MUNGU
![](http://3.bp.blogspot.com/-4IjTBiWlGJc/VOQFMaGfF-I/AAAAAAADZvk/XZ793ldIPsY/s1600/10430463_883962068294975_6601982860648987121_n.jpg)
9 years ago
MichuziC-SEMA , TAJOC WAJADILI ULINZI MTOTO
Na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar24 Oct
Sema Wewe sasa, baada ya uchaguzi….
Mpendwa mzalendo na msomaji wa mzalendo.net, nahitaji mchango na maoni yako. Kufuatia kipindi hichi cha uchaguzi mkuu 2015, mara baada ya uchaguzi kumalizika; Nani unadhani atashika nafasi ya: 1) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar. […]
The post Sema Wewe sasa, baada ya uchaguzi…. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima
SHIRIKA la Mpango Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...
9 years ago
Bongo505 Jan
Music: Mwasiti Ft Queen Darleen – Sema Nae
![artist_121bcd964eb23c68f2bb90d5a45f4df6130.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/artist_121bcd964eb23c68f2bb90d5a45f4df6130.jpg-300x194.png)
Msanii wa kike wa bongo fleva Mwasiti baada ya kufanya vizuri na wimbo wa “Serebuka” ametuletea single mpya inaitwa “Sema Nae” ameamshirikisha Mwanadada mwenzake Queen Darleen. Wimbo umetaalishwa na Producer Lufa & Chizain Brain Studio:Switch Records
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s72-c/1.jpg)
BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuHYtUPVU4U/VWM7pm1YVMI/AAAAAAAC5CY/FbrbyyAvC40/s640/2.jpg)