Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanapo sema ccm hawatowi ,wanakusudia nini ?

Hivi karibuni nimeona picha za magari mazito ya polisi pamoja na mazoezi ya hapa na pale. Haya yanafanyika tunapokaribia katika kipindi muhimu zaidi katika historia ya nchi hii, kipindi ambacho kina ushindani mkubwa wa kisiasa, Kipindi […]

The post Wanapo sema ccm hawatowi ,wanakusudia nini ? appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HONGERA IDRIS SEMA NINI?..

KWAKO mshindi wetu wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. Natumaini ndiyo kwanza una ‘kiraruraru’ cha ushindi wa milioni 510, hongera kwa ushindi!Mkwanja huo ni mrefu, hayo ni mafanikio yako binafsi lakini pia watanzania kwa jumla. Walikupigia kura, kweli umeshinda! Ukitaka kujua hali yangu mimi mwananchi wa kawaida niko poa, naendelea na majukumu yangu ya kila siku na huu ndiyo uwanja wangu wa...

 

9 years ago

GPL

MASTAA WAZINDUA KAMPENI YA CCM ‘MAMA SEMA NA MWANAO’

Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Wasanii waliokuwa kwenye kampeni hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja. Staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu na wasanii wenzake wa kike leo wamezindua Kampeni ya ‘Mama Sema na Mwanao’ ambayo itafanya tamasha kubwa lenye lengo la kuongea na vijana na litazunguka mikoa kumi ya Tanzania kwa ajili ya kuamsha vijana ikiwa ni moja ya sera za Chama Cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?

WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo  tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...

 

11 years ago

Mwananchi

Wana-CCM wanahofia nini kura za siri?

>Kwa muda wa takriban siku 16 sasa, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wamekuwa katika njiapanda kuhusu kupiga kura ya siri au ya wazi katika kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM inaogopa nini kutumia rungu lake?

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimo katika kibarua cha kuwahoji makada wake wanaotajwa au kuonyesha dalili za kugombea urais.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM hiyo inang’oka, UKAWA wanatuletea nini?

WANASIASA, wachambuzi, waandishi wa habari na hata wananchi wa kawaida wanasema uchaguzi wa mwaka

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?

Mwalimu Nyerere ameacha sifa nyingi za uongozi katika historia ya Tanzania. Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassani Mwinyi alimwita mlima na yeye akajiita kichuguu na wengine tumebaki na Baba wa Taifa kama neno la jumla la heshima yake kitaifa. Hata wanawe humwita Baba wa Taifa na siyo baba yao. Hili nalo ni kumpambanua kwa haiba na wababa wengine wa familia na koo za Kiafrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini CCM itaanguka rasmi mwaka 2020 — (1)

Tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992, mambo mengi yametokea.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ninazo sababu zangu binafsi ,Ni kwa nini nataka ccm kakae bench ?

The post Ninazo sababu zangu binafsi ,Ni kwa nini nataka ccm kakae bench ? appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani