Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM hiyo inang’oka, UKAWA wanatuletea nini?

WANASIASA, wachambuzi, waandishi wa habari na hata wananchi wa kawaida wanasema uchaguzi wa mwaka

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM itang’oka kwa mambo haya - Ukawa

Arusha. Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umetaja majukumu makuu matano yanayopaswa kutekelezwa na Watanzania wenye mapenzi mema kuelekea Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM inang’ang’ania madaraka kama ruba

NITANGULIE kueleza kuwa ‘ruba’, pia ‘mwata’ ni mdudu wa maji baridi  anayeng’ata na kujishikamanisha na mwili wa kiumbe kama mtu au mnyama na kufyonza damu. Ndivyo kilivyo Chama Cha Mapinduzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?

WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo  tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...

 

9 years ago

Habarileo

Mzee Kingunge ang’oka CCM

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.

 

9 years ago

Vijimambo

SUMAYE-SIRUDI NYUMA MPAKA NIHAKIKISHE CCM IMENG'OKA!


Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema pamoja na vitisho ambavyo amevipata kutoka kwa mahasimu wake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hatarudi nyuma mpaka atakapohakikisha chama hicho kimeng’oka madarakani.Kadhalika, amesema mwisho wa CCM kukaa madarakani ni mwaka huu kwa kuwa wananchi wameamua kufanya mabadiliko wenyewe. Aliyasema hayo jana wakati akizindua kampeni za ubunge Jimbo la Ubungo za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU

KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Kagera katika Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Zitto Kabwe, Ismail Mahamudu  akizungumza mbele ya waandishi wa habari, baada ya yeye na madiwani wengine wanne wa chama hicho, kutangaza kung'oka ACT-Wazalendo.na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika mkutano na waandishi hao uliofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwa nini UKAWA na si Tanzania Kwanza?

WAKATI mchakato wa Katiba mpya ukiendelea na safari yake kupitia kwenye vikwazo vinavyowekwa makusudi na wenye hila, ambao hata hivyo hawawezi kufafanua sababu za kufanya hivyo wakaeleweka, wapo wananchi wanaojiuliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani