CCM hiyo inang’oka, UKAWA wanatuletea nini?
WANASIASA, wachambuzi, waandishi wa habari na hata wananchi wa kawaida wanasema uchaguzi wa mwaka
Njonjo Mfaume
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 May
CCM itang’oka kwa mambo haya - Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
CCM inang’ang’ania madaraka kama ruba
NITANGULIE kueleza kuwa ‘ruba’, pia ‘mwata’ ni mdudu wa maji baridi anayeng’ata na kujishikamanisha na mwili wa kiumbe kama mtu au mnyama na kufyonza damu. Ndivyo kilivyo Chama Cha Mapinduzi...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Hofu ya CCM kwa UKAWA ni nini?
WAHENGA hawakukosea waliposema “Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu.” Ni nasaha inayotukumbusha umuhimu wa kushirikiana na binadamu wenzetu maishani katika mambo tufanyayo. Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ni muungano...
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
9 years ago
Vijimambo14 Sep
SUMAYE-SIRUDI NYUMA MPAKA NIHAKIKISHE CCM IMENG'OKA!
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thecitizen.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2842630%2FmedRes%2F1099112%2F-%2Fkun6a5%2F-%2FSUMAYE.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema pamoja na vitisho ambavyo amevipata kutoka kwa mahasimu wake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hatarudi nyuma mpaka atakapohakikisha chama hicho kimeng’oka madarakani.Kadhalika, amesema mwisho wa CCM kukaa madarakani ni mwaka huu kwa kuwa wananchi wameamua kufanya mabadiliko wenyewe. Aliyasema hayo jana wakati akizindua kampeni za ubunge Jimbo la Ubungo za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU
KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Kwa nini UKAWA na si Tanzania Kwanza?
WAKATI mchakato wa Katiba mpya ukiendelea na safari yake kupitia kwenye vikwazo vinavyowekwa makusudi na wenye hila, ambao hata hivyo hawawezi kufafanua sababu za kufanya hivyo wakaeleweka, wapo wananchi wanaojiuliza...