C-SEMA , TAJOC WAJADILI ULINZI MTOTO
Afisa Mtendaji Mkuu wa C-SEMA, Kiiya Kiiya akizungumza na Waandishi wa Habari za Watoto (TAJOC) na Wadau Watunga Sera katika kampeni Nijali Mtoto wa Tanzania iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
Mshauri Mwandamizi wa Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto wa C-SEMA, Thelma Dhaje akizungumza na Waandishi wa Habari za Watoto (TAJOC) na Wadau Watunga Sera katika kampeni Nijali Mtoto wa Tanzania iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Watoto wakiwa katika picha ya pamoja jijini Dar es Salaam.
Na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Oct
Wajadili sera ya mtoto gerezani
WADAU mbalimbali wamekutana kujadili rasimu ya sera ya Jeshi la Magereza ya ulinzi wa mtoto anapokuwa gerezani kwa lengo la kutoa maboresho yao.
10 years ago
Michuzi07 Feb
10 years ago
Michuzi07 Feb
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Mtoto albino azikwa chini ya ulinzi
Na Benjamin Masese, Geita
MABAKI ya mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati (1) ambaye alitekwa Februari 16, mwaka huu na kuuawa kwa kukatwa mikono na miguu, jana yalizikwa kaburini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mazishi ya mtoto huyo yalifanyika saa tisa alasiri katika Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, huku polisi wakiwa wameimarisha ulinzi.
Mabaki ya mwili wa mtoto huyo yalipelekwa kwanza nyumbani kwa babu yake, Misalaba Manyamche, saa sita mchana kabla ya...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TCEMN yataka ulinzi kwa mtoto wa kike
WAKATI nchi ikiwa inaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba, mwaka huu, ulinzi kwa mtoto wa kike umetakiwa kuwa ajenda ya wanasisasa katika kampeni zao. Hayo yalisemwa jana na...
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Maziko ya mtoto albino kufanyika chini ya ulinzi mkali
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Wiki ya ulinzi na usalama wa mtoto februari 9 — 15 mwaka huu
Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarisha.
PRESS RELEASE WIKI YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO.pdf by moblog
10 years ago
Michuzi17 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YbAf1KfPZCs/U8aDkUVvQTI/AAAAAAAF2wk/Ij7EiHrpNCU/s72-c/Untitled.png)
Tume ya Haki za Binadamu na utawala Bora yaagana na Mtaalamu wa masuala ya ulinzi wa mtoto kutoka UNICEF
Bi Rachel amekuwa akifanya kazi karibu na Tume katika kipindi chote cha miaka mine (4) aliyokuwa nchini, baadhi ya kazi alizofanya akiwa na Tume ni pamoja na kuratibu kazi...