Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wiki Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mtoto

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Wiki ya ulinzi na usalama wa mtoto februari 9 — 15 mwaka huu

3

Baadhi ya watoto wanaoishi katika mazingira hatarisha.

PRESS RELEASE WIKI YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO.pdf by moblog

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA WIKI YA ULINZI NA USALAMA KWA WATOTO

Kushoto mgeni rasmi, Salehe Kiziga, akiwa na Ofisa Vijana Manispaa ya Ilala Immaculate Bachubile. Mmoja wa watoto  akikabidhi risala kwa mgeni rasmi.…

 

5 years ago

Michuzi

Shirika la World Vision Tanzania jijini Arusha latoe elimu ya kujikinga na Corona,Ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32

Na Jusline Marco-Longido

Shirika la World Vision Tanzania,Mkoani Arusha limetoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona iliyoenda  sambamba na ulinzi na usalama wa mtoto wa kike katika vijiji 32 Wilayani Longido.

Akizungumza na waandishi wa habari Wilayani humo mratibu wa Kitumbeine DP, Bi.Peruth Daudi alisema kuwa katika suala la uhamasihaji jamii juu ya COVID-19 wameweza kufikia vijiji 19 vilivyomo ndani ya Mradi huo huku vijiji 13 vikiwa nje ya mradi ambavyo  navyo vimeweza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama

WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...

 

10 years ago

Michuzi

TAASISI ZA ULINZI NA USALAMA ZAPATIWA MAFUNZO

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Major General G.S Milanzi kulia akiongea na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Helmas Mwansoko kushoto kabla ya Prof. Mwansoko kutoa Mhadhara juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na ulinzi wa Nchi kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma.Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAFANYA ZIARA

kamati ya ulinzi na usalama  ikifanya ziara katika maeneo mbali mbali ya Unguja ikiwa na lengo la kuangalia ni kwa kiasi gani wananchi wanafata maagizo ya serikali katika kupambana na maradhi ya Corona ziara hiyo ilianzia Soko la Mwanakwerekwe,Darajani na kumalizikia bandarini mMjini Zanzibar.



 

10 years ago

Mwananchi

DCI ataka ulinzi na usalama uingizwe BRN

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amependekeza suala la ulinzi na usalama lipewe kipaumbele na kuwekwa katika mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, China kushirikiana katika ulinzi na usalama

SERIKALI ya Tanzania na China zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao baina ya nchi hizo mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani