Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DCI ataka ulinzi na usalama uingizwe BRN

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amependekeza suala la ulinzi na usalama lipewe kipaumbele na kuwekwa katika mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAFANYA ZIARA

kamati ya ulinzi na usalama  ikifanya ziara katika maeneo mbali mbali ya Unguja ikiwa na lengo la kuangalia ni kwa kiasi gani wananchi wanafata maagizo ya serikali katika kupambana na maradhi ya Corona ziara hiyo ilianzia Soko la Mwanakwerekwe,Darajani na kumalizikia bandarini mMjini Zanzibar.



 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama

WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...

 

10 years ago

Michuzi

TAASISI ZA ULINZI NA USALAMA ZAPATIWA MAFUNZO

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Major General G.S Milanzi kulia akiongea na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Helmas Mwansoko kushoto kabla ya Prof. Mwansoko kutoa Mhadhara juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na ulinzi wa Nchi kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma.Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU MTENDAJI MKUU PDB/BRN ATAKA MAAFISA KILIMO KUWA WABUNIFU

Naibu Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa BRN, Bw. Peniel Lyimo akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na maafisa kilimo kilichoanza Dar es Salaam leo Jumatatu ambapo aliwataka kuwa wabunifu, kutatua changamoto za kisekta na kushirikishana na wataalamu wengine ili malengo ya BRN katika kilimo yafanikiwe.Mkuu wa Kitengo cha Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Wizara ya Kilimo, Bw. January...

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA WIKI YA ULINZI NA USALAMA KWA WATOTO

Kushoto mgeni rasmi, Salehe Kiziga, akiwa na Ofisa Vijana Manispaa ya Ilala Immaculate Bachubile. Mmoja wa watoto  akikabidhi risala kwa mgeni rasmi.…

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, China kushirikiana katika ulinzi na usalama

SERIKALI ya Tanzania na China zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao baina ya nchi hizo mbili.

 

9 years ago

StarTV

Mgombea CHAUMA aahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa raia

Kutokana na kukithiri kwa vitendo vya kikatili yakiwemo  mauaji ya alibino,mauaji ya vikongwe, ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia chama cha ukombozi wa umma (CHAUMA) kimesema endapo watanzania watakipatia ridhaa ya kuongozi nchi kitahakikisha kinakomesha vitendo vya kikatili kwa makundi hayo kwa kujenga makambi maalumu ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia wake.

Hayo yamesemwa na mgombea urais kupitia chama hicho Hashim Rungwe akiwa katika mkutano wa kampeni wilayani Nzega Mkoani Tabora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani