Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAASISI ZA ULINZI NA USALAMA ZAPATIWA MAFUNZO

Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Major General G.S Milanzi kulia akiongea na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Helmas Mwansoko kushoto kabla ya Prof. Mwansoko kutoa Mhadhara juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na ulinzi wa Nchi kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma.Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KIKANDA TAASISI ZA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA

Mkuu wa Magereza Mkoani Dodoma, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Antonino Kilumbi akiwa ameshika vikombe vya ushindi katika Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Kati kwa Mwaka 2015. Wengine ni Maafisa Washiriki wa Jeshi la Magereza wa Maonesho ya Wakulima ya Nane Nane Kanda ya Kati, Dodoma.
Jeshi la Magereza nchini limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika Maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika katika Kanda ya Kasikazini(Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na...

 

5 years ago

Michuzi

SACCOS 90 KANDA YA KATI ZAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WAO


Viongozi wa SACCOS Kanda ya Kati wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini.

Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja.


Na Ismail Luhamba, Singida


ZAIDI ya SACCOS 90 za Mikoa ya Kanda ya Kati zimepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa viongozi wa SACCOS yatakayosaidia kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa leseni za vyama vyao.

Mafunzo hayo yanayofanyika nchi nzima yametolewa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAFANYA ZIARA

kamati ya ulinzi na usalama  ikifanya ziara katika maeneo mbali mbali ya Unguja ikiwa na lengo la kuangalia ni kwa kiasi gani wananchi wanafata maagizo ya serikali katika kupambana na maradhi ya Corona ziara hiyo ilianzia Soko la Mwanakwerekwe,Darajani na kumalizikia bandarini mMjini Zanzibar.



 

10 years ago

Tanzania Daima

Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama

WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, China kushirikiana katika ulinzi na usalama

SERIKALI ya Tanzania na China zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao baina ya nchi hizo mbili.

 

10 years ago

Mwananchi

DCI ataka ulinzi na usalama uingizwe BRN

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amependekeza suala la ulinzi na usalama lipewe kipaumbele na kuwekwa katika mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani