TAASISI ZA ULINZI NA USALAMA ZAPATIWA MAFUNZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-EDvSbovCoXI/VZUXuW5QMbI/AAAAAAAHmYI/H7WcvmD6upA/s72-c/PIC%2B1.jpg)
Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Major General G.S Milanzi kulia akiongea na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Helmas Mwansoko kushoto kabla ya Prof. Mwansoko kutoa Mhadhara juu ya Utamaduni unavyochangia katika usalama na ulinzi wa Nchi kwa Viongozi wa Ulinzi na usalama wa ndani na nje ya nchi pamoja na Taasisi za umma.Mhadhara huo umefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE KIKANDA TAASISI ZA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qqUp5jQ1ILI/VcZhqeEC1RI/AAAAAAAHvX0/XDWllfsBj7A/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
Jeshi la Magereza nchini limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika Maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika katika Kanda ya Kasikazini(Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na...
5 years ago
MichuziSACCOS 90 KANDA YA KATI ZAPATIWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO VIONGOZI WAO
Viongozi wa SACCOS Kanda ya Kati wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini.
Washiriki wa mafunzo hayo wakiwa katika picha ya pamoja.
Na Ismail Luhamba, Singida
ZAIDI ya SACCOS 90 za Mikoa ya Kanda ya Kati zimepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa viongozi wa SACCOS yatakayosaidia kuharakisha mchakato wa upatikanaji wa leseni za vyama vyao.
Mafunzo hayo yanayofanyika nchi nzima yametolewa na Tume ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini...
10 years ago
Michuzi07 Feb
10 years ago
Michuzi07 Feb
5 years ago
MichuziKAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAFANYA ZIARA
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Rais arejeshwa Baraza la Ulinzi na Usalama
WAKATI rasimu ya Katiba Mpya ikimwondoa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika Baraza la Ulinzi na Usalama wa Taifa lenye wajumbe 13, mapendekezo ya wajumbe walio wengi katika taarifa za...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Tanzania, China kushirikiana katika ulinzi na usalama
SERIKALI ya Tanzania na China zimesaini Hati ya Makubaliano inayolenga kuimarisha zaidi ushirikiano katika masuala ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao baina ya nchi hizo mbili.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
DCI ataka ulinzi na usalama uingizwe BRN