NAIBU MTENDAJI MKUU PDB/BRN ATAKA MAAFISA KILIMO KUWA WABUNIFU
Naibu Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa BRN, Bw. Peniel Lyimo akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na maafisa kilimo kilichoanza Dar es Salaam leo Jumatatu ambapo aliwataka kuwa wabunifu, kutatua changamoto za kisekta na kushirikishana na wataalamu wengine ili malengo ya BRN katika kilimo yafanikiwe.
Mkuu wa Kitengo cha Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Wizara ya Kilimo, Bw. January...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNAIBU MTENDAJI MKUU BRN AELEZA MIKAKATI YA KUBORESHA KILIMO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MTENDAJI MKUU PDB AWAPA CHANGAMOTO WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aAEIqSWiR64/VC1YdhtJc-I/AAAAAAAGnVI/Q84x4XT1loo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F-ryg_poH0I/Vfx9lfLcRtI/AAAAAAAH5-I/HbPqlHq-Ezs/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MTENDAJI MKUU PDB Omari Issa katika Mahafali ya 23 ya Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde
![](http://1.bp.blogspot.com/-F-ryg_poH0I/Vfx9lfLcRtI/AAAAAAAH5-I/HbPqlHq-Ezs/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0_kKqoJFols/Vfx9lQBQrxI/AAAAAAAH5-Q/iG_77Pn7mOs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bGQFMflLG_E/Vfx9lblnkiI/AAAAAAAH5-E/9isor5K2SJU/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Aug
MTENDAJI MKUU BRN ATOA CHANGAMOTO
TAASISI za Serikali zinazohusika katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimetakiwa kuhakikisha kuwa wananchi wanaelezwa mafanikio na changamoto za utekelezaji wa Mpango huo.
Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam leo Jumatano na Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia utekelezaji wa BRN, Bw. Omari Issa alipokuwa akifungua Mkutano wa Kwanza wa Watendaji wa Serikali Kutathmini...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qhKW0kVo_sU/VHQHVGFuSOI/AAAAAAAGzPU/w2et6afDrSk/s72-c/3d6cOmari-Issa.jpg)
Mtendaji Mkuu BRN Bw. Omar Issa atunukiwa tuzo ya Mbia Bora wa Mwaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhKW0kVo_sU/VHQHVGFuSOI/AAAAAAAGzPU/w2et6afDrSk/s1600/3d6cOmari-Issa.jpg)
11 years ago
Michuzi22 Mar
Mkuu wa wilaya ya Makete afunga warsha ya maafisa kilimo
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT
Mabasi yendayo haraka Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene.
TAARIFA KWA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007,...