Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HONGERA MZEE WA WARAKA

001_resized_5 (1)Juu na chini mwandishi wa makala katika safu ya Waraka kutoka Houston ndani ya gazeti la Raia Mwema, Innocent Mwesiga, Pharm.D na mke wake Carretta Mwesiga, FNP wakifurahia miaka 10 ya ndoa yao hivi karibuni katika visiwa vya Bahamas. (Kutoka blog hii tunawapa hongera sana) 002_resized_6(Picha kwa hisani ya Sunday Shomari).

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waraka wa Muungano ni zimwi?

BUNGE la Maalumu linaloendelea na vikao vyake mkoani Dodoma kwa takriban miezi miwili sasa limekuwa kizungumkuti cha aina yake. Baadhi ya watu Zanzibar, wameanza kuhisi kikao hiki cha kihistoria kimegeuzwa...

 

11 years ago

Mwananchi

JK atoe tamko waraka wa CCM’

Waraka unaodaiwa kuandaliwa na CCM kwa ajili kuwaelekeza wajumbe wake kwenye Bunge Maalumu la Katiba kutetea msimamo wa Serikali mbili umepokewa kwa hisia tofauti huku Rais Jakaya Kikwete akitakiwa kujitokeza hadharani kueleza msimamo wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Waraka wa Zitto wamponza Waitara

>Sakata la waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe limeibuka kwa sura mpya, safari hii likimkwamisha Ofisa wa Sera na Utafiti wa chama hicho makao makuu, Mwita Waitara kuwania uongozi.

 

11 years ago

GPL

WARAKA WA ABSALOM KIBANDA KWA JK

 Absalom Kibanda.…

 

11 years ago

Mwananchi

Waraka wa Katiba wa CCM hadharani

Waraka huo wa kurasa 22 unaoainisha mambo yenye masilahi kwa chama hicho, unawataka wajumbe wake kuutetea bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hatuhusiki na waraka unaopinga rasimu’

Jumuiya ya Mtakatifu Thomas more Dodoma, imekanusha waraka unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ukipinga rasimu ya Katiba, pamoja na uchochezi wa kidini.

 

10 years ago

Mwananchi

Waraka wa Warioba kwa Wasira

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameandika waraka kumjibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira kwa kauli yake kuwa ndiye aliyemkimbiza CCM kwenda upinzani mwaka 1995.

 

5 years ago

Michuzi

TRUMP AINYUKA WHO WARAKA MZITO


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS wa Marekani Donald Trump ameendelea kulituhumu Shirika la afya Duniani (WHO) kwa kushindwa kuwa chombo huru katika kupambana na janga la mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19.) Ambavyo hadi sasa vimesambaa duniani kote na hakuna chanjo wala kinga iliyopatikana hadi sasa.
Kupitia barua aliyoiweka katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram akiielekeza kwa Mkurugenzi wa WHO Dkt. Tedros Adhonom Ghebreyesus Trump ...

 

10 years ago

Mwananchi

Othman atoa waraka muundo wa Bunge

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amelazimika kuandika waraka kuhusu mapendekezo ya kitaalamu na kuyawasilisha mbele ya Kamati Namba 11 baada ya kuibuka malumbano makali kuhusu aina ya muundo wa Bunge unaotakiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani