JK atoe tamko waraka wa CCM’
Waraka unaodaiwa kuandaliwa na CCM kwa ajili kuwaelekeza wajumbe wake kwenye Bunge Maalumu la Katiba kutetea msimamo wa Serikali mbili umepokewa kwa hisia tofauti huku Rais Jakaya Kikwete akitakiwa kujitokeza hadharani kueleza msimamo wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Waraka wa Katiba wa CCM hadharani
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
11 years ago
MichuziCCM WAKANUSHA WARAKA WA SIRI WA UCHAGUZI WA KALENGA
KATIBU wa CCM Mkoa wa Iringa Hassani Mtenga amekanusha chama hicho kuhusishwa na waraka aliodai...
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
9 years ago
StarTV09 Nov
CCM Kilimanjaro yatoa tamko juu ya mwenendo wa uchaguzi
Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro umeiomba serikali kuweka sheria madhubuti zinazolenga kuthibiti wasimamizi wa uchaguzi ambao wanakiuka sheria na kanuni za Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kwa kusababisha vurugu katika zoezi la uhesabuji wa kura.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko mengi ya wagombea wa kiti cha ubunge na udiwani katika baadhi ya majimbo mkoani humo kulalamikia zoezi la uchaguzi kutokuwa huru na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-v0BjELxHWj8/VaaGa8wjXiI/AAAAAAAHp9I/ShupN7SWrVk/s72-c/1.jpg)
TAMKO LA SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TANZANIA-CCM
SHIRIKISHO la Taifa tunawapongeza wajumbe wote wa vikao vyote vya maamuzi ndani ya chama chetu kwa kutenda haki na kumteua mgombea safi, muadilifu, mchapa kazi, mzalendo, ambaye hakuwa na kundi na hadi kwa sasa hana kundi, mwenye dhamira ya dhati na utashi wa kudumisha umoja na mshikamano ndani na nje ya chama chetu.
Shirikisho Taifa tunapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza Mheshimiwa Daktari John Pombe Magufuli na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kuteuliwa kuwa wapeperusha bendera ya CCM...
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H-XNPC5MG54/U8Wtw9JadAI/AAAAAAAF2m4/ly5JCmqtpgc/s72-c/3020c88a036f4389c1a0a3f7a5299c05.jpg)
Msaada tutani: mtoto aibwa changanyikeni leo, ataemuona atoe taarifa polisi
![](http://1.bp.blogspot.com/-H-XNPC5MG54/U8Wtw9JadAI/AAAAAAAF2m4/ly5JCmqtpgc/s1600/3020c88a036f4389c1a0a3f7a5299c05.jpg)
ATAKAEMUONA NNAOMBA ATUSAIDIE KUTOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE CHA POLICE. AMEIBIWA NA MKAKA KANYOA PANK.
Please upatapo ujumbe huu mfowardie na mwenzako