Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waraka wa Katiba wa CCM hadharani

Waraka huo wa kurasa 22 unaoainisha mambo yenye masilahi kwa chama hicho, unawataka wajumbe wake kuutetea bungeni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Waraka kutangaza Katiba siyo wa siri

Salva RweyemamuSERIKALI imekiri kuutambua waraka unaodaiwa kuwa ni wa siri wa Serikali wa kuitangaza Katiba pendekezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waraka halali wa Muungano utumike Bunge la Katiba

WASWAHILI wana msemo maarufu unaoeleza kuwa mambo kangaja huenda yakaja. Sasa wakati waheshimiwa wetu wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya baadhi yao kutaka waongezwe posho ili watuwakilishe vizuri katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waraka maalumu kwa wabunge wa Bunge la Katiba

SALAMU kwenu  wajumbe wa  Bunge  Maalumu la Katiba. Kwanza nianze kuwaambia msidhani ubunge ni bonge la dili. Ni nafasi tu katika mgawanyo wa kazi, hivyo  wale wanaoonekana wanajishaua waache  mara...

 

11 years ago

Mwananchi

JK atoe tamko waraka wa CCM’

Waraka unaodaiwa kuandaliwa na CCM kwa ajili kuwaelekeza wajumbe wake kwenye Bunge Maalumu la Katiba kutetea msimamo wa Serikali mbili umepokewa kwa hisia tofauti huku Rais Jakaya Kikwete akitakiwa kujitokeza hadharani kueleza msimamo wake.

 

11 years ago

Michuzi

CCM WAKANUSHA WARAKA WA SIRI WA UCHAGUZI WA KALENGA

 Katibu mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na wanahabari wa Iringa katika ofisi za chama hicho mapema leo.   Katibu mkuu wa CCM Mkoa wa Iringa,Ndugu Hassani Mtenga akizungumza na wanahabari wa Iringa katika ofisi za chama hicho mapema leo. Sahihi halali ya Mwigulu Nchemba ambayo iko tofauti ya waraka uliosambazwa. =======  ======  ======== Na Denis Mlowe,Iringa
KATIBU wa CCM Mkoa wa Iringa Hassani Mtenga amekanusha chama hicho kuhusishwa na waraka aliodai...

 

9 years ago

Mwananchi

Kamati ya uchaguzi CCM hadharani

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kamati ya wajumbe 32 mahususi kwa ajili ya kempeni za Uchaguzi Mkuu 2015 chini ya Mwnyekiti Abdulrahman Kinana.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais CCM sasa hadharani

Sasa ni wazi; mmoja kati ya Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro au Balozi Amina Salum Ali atapeperusha bendera ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao baada ya wajumbe wa Mkutano Mkuu kukamilisha kazi yao ya kupiga kura usiku mwingi wa kumkia leo.

 

10 years ago

GPL

KIGOGO CCM AANGUA KILIO HADHARANI!

Katibu wa Elimu, Malezi na Uchumi ambaaye pia ni Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM, Emmy Kiula kisikitikia jambo. Stori: Dunstan Shekidele, Morogoro/Ijumaa Wikienda
Machungu! Kigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa ambaye ni Katibu wa Elimu, Malezi na Uchumi na pia ni Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM, Emmy Kiula amejikuta akiangua kilio hadharani baada ya Mzee Mohamed Halfan (78) mwenye ulemavu kumlilia kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani