WARAKA ULIONASWA NA UKAWA KUHUSU KTANGAZA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA HUU HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QjlKvb4vTWI/VFnQmv_nHBI/AAAAAAAAF7M/MWNjx3sXXWo/s72-c/10636907_10152511503861156_36094019205697603_o.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
10 years ago
Bongo Movies13 Mar
Picha:Ukweli Kuhusu Wema na Ommy Huu Hapa!
Hatimaye imekuwa dhahili kuwa mwanamziki Ommy Dimpoz ambae anajiita ‘Baba Wanjera’ na mwigizaji Wema Sepetu ambae ameitwa kama Wanjera walikuwa wakifanya kazi na sio malavidavi kama ilivyokuwa ikidhaniwa siku za hivi karibuni kutokana ukaribu waliokuwa nao.
Leo saa 4 asubuhi ngoma ya Ommy inayokwenda kwa jina la Wanjera itaruka hewani kwenye TV na redio zote ndani na nje ya nchi.
Jionee baadhi ya picha zitakazo onekana kwenye ngoma hiyo.
Mzee wa...
10 years ago
Bongo Movies21 Mar
Ubuyu Kuhusu Wolper Kumpiga Mizinga Bwana wa Wastara Huu Hapa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper amedaiwa kuwa na tabia ya kumpiga mizinga (kuomba fedha) mume mtarajiwa wa mwigizaji Wastara Juma, Mark Edi.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi, chanzo chao makini makini kilicho karibu na Mark ambaye ni mfanyabiashara mwenye maduka ya nguo jijini Dar, kilidokeza kuwa, kabla ya kuanzisha uhusiano na Wastara, Mark alikuwa na uhusiano na Wolper lakini alimshindwa kutokana na tabia hiyo ya kupiga mizinga.
“Yaani Wolper ni balaa, anampiga sana...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s72-c/1.jpg)
KAULI MPYA YA MKAPA KUHUSU UKAWA, SOMA HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cmD0GmqM7LU/Ve_aZXHaZGI/AAAAAAAADgs/k6b4LUK5yQU/s640/1.jpg)
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa ameponda kauli ya vyama vya upinzani kuwa vitaleta mabadiliko, akisema kazi hiyo tayari imefanywa na CCM.Akizungumza kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Bukoba wakati wa uzinduzi wa kampeini za wagombea wa chama hicho mkoani Kagera, Mkapa alisema chama pekee kilichobobea katika ukombozi ni CCM na Serikali zake zilizotangulia.Kiongozi huyo wa Serikali ya Awamu ya Tatu alisema kuwa lengo la vyama vya upinzani ni kuing’oa CCM na lengo la chama hicho tawala ni kuendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
10 years ago
Mwananchi26 Sep
KATIBA: Waiponda rasimu iliyopendekezwa