Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake
Baba yangu alinipa zawadi ambayo mtu yeyote angeweza kuitoa kwa mtoto wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Baba wa kambo ambaka binti yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKk-JL1XS8hbUF8b9QcSkmEmDTFtFbbdHefp7qtOJuQwXBlrCF5ZnTuNozcl05cFn-VZwoId0G4M-tuDRtXdtS7S/963553224e8230f75e11e49416e181221d5c3b.jpg)
BABA ALIYEMBAKA BINTI YAKE WA KAMBO AKAMATWA PARAGUAY
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-8dol64d2_MQ/VYrSDKCN_HI/AAAAAAAACOk/78P8GtuH3Xs/s72-c/DonationTin2.jpg)
KILA MWANANCHI TANZANIA ANATAKIWA KUCHANGIA SH.100/=. UNAJUA SABABU?
![](http://2.bp.blogspot.com/-8dol64d2_MQ/VYrSDKCN_HI/AAAAAAAACOk/78P8GtuH3Xs/s400/DonationTin2.jpg)
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pAdZrqZuEsg/VPcZA6G2VJI/AAAAAAAHHrM/X5yTvQ66wUY/s72-c/DSC_0983.jpg)
KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...
11 years ago
Bongo Movies15 Jul
Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.
Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...
10 years ago
VijimamboMPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
modewjiblog inatoa pole kwa Mh Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kufiwa na baba yake
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 amefiwa na baba yake mzazi Mzee Kigwangalla aliyekuwa akipatiwa matibabu nchi India.
modewjiblog inatoa pole kwa familia nzima ya Dk. Hamis Kigwangalla katika kipindi hichi kigumu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu na faraja.
inna lillahi wa inallah-e-raji’oon.
9 years ago
Bongo501 Dec
Chris Brown kuchangia dola 1 kwa kila nakala ya album yake ‘royalty’ kwa watoto
![breezy-smile](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/breezy-smile-300x194.jpg)
Ikiwa zimebaki wiki mbili kuachia album yake mpya, Chris Brown amesema kuwa atachangia kwenye mfuko wa watoto kiasi cha dola moja kutoka kwenye mauzo ya kila nakala ya album yake, ikiwa ni sehemu ya kurudisha kwa jamii mwisho huu wa mwaka.
Kupitia mitandao ya kijamii Breezy aliandika,
“The holidays are all about giving back, so this Christmas, from now until Christmas, if you order the album, pre-order the album, one dollar of every album sold will go to Childrens Miracle Network...
5 years ago
CCM BlogMTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...