KILA MWANANCHI TANZANIA ANATAKIWA KUCHANGIA SH.100/=. UNAJUA SABABU?
![](http://2.bp.blogspot.com/-8dol64d2_MQ/VYrSDKCN_HI/AAAAAAAACOk/78P8GtuH3Xs/s72-c/DonationTin2.jpg)
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi ya usambazaji wa umeme TZ.
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Kila baba anatakiwa atoe somo kwa binti yake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pAdZrqZuEsg/VPcZA6G2VJI/AAAAAAAHHrM/X5yTvQ66wUY/s72-c/DSC_0983.jpg)
KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Usijidanganye kuamini kuwa unajua kila kitu
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Kwa nini ujifanye unajua kila kitu?
BINADAMU tumeumbwa kwa kila mmoja wetu kuwa na uwezo wake binafsi tofauti na mwingine, kiakili, kifikra, kipesa na kiutendaji. Utofauti huu ndio unaotufanya tuendelee kuishi na kuheshimiana hapa duniani. Lakini...
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Jitihada za kuendeleza elimu nchini ni za kila mwananchi
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Kigwangalla aja na bima ya afya kwa kila mwananchi
NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Nzega, Dk. Khamis Kigwangalla, ametangaza rasmi nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akitaja vipaumbele vikuu vitatu ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya.
Kigwangalla ambaye alitangaza nia yake hiyo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Nzega mkoani Tabora, alisema ameamua kuchukua uamuzi huo kwani ana dhamira njema, hofu ya Mungu na anachukia rushwa.
Alisema Tanzania ya sasa inahitaji kuongozwa na vijana ambao wana...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mj1bnT_AkVI/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SIJ6trQmj_4/XqB7-DHj3wI/AAAAAAALn3g/tDRpRXqkA8QlKDXqcLqISaAVu-J5H2foACLcBGAsYHQ/s72-c/C.jpg)
DC aagiza kila mwananchi kupambana na Corona kwa hiari
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kila mwananchi kuhakikisha anapambana na virusi vya Corona (COVID-19) kwa hiari ili taifa liweze kubaki salama.
Msafiri ametoa agizo hilo mapema alfajiri ya leo April 22 2020 wakati akiongoza zoezi la utakasaji mabasi yanayoelekea mikoa mingine kutokea kituo cha mabasi Njombe mjini kwa Croline,zoezi ambalo limeratibiwa na halmashauri ya mji wa Njombe.
“Kila mwananchi ajione ni mdau katika zoezi la kupambana na virusi...