Jitihada za kuendeleza elimu nchini ni za kila mwananchi
Uzoefu wangu wa kufuatilia masuala ya elimu, unaonyesha aghlabu matatizo mengi katika sekta ya elimu yanasababishwa na Serikali kama mdau mkuu
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWADAU WA MAZINGIRA WAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NIHATI JADIDIFU NCHINI
Wadau wa mazingira kutoka Shirika la FORUMCC wakiendelea na majadiliano leo Juni 25,2020 Mjini Morogoro ambao wamekutana kujadilia bajeti ya Wizara ya Nishati pamoja na jitihada zinazofanywa katika kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Sehemu ya wanachama wa FORUMCC wakiwa makini kufuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa kujadili matumizi ya nishati jadidifu pamoja na jitihada za Serikali katika kuendeleza sekta hiyo...
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Kigwangalla aja na bima ya afya kwa kila mwananchi
NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Nzega, Dk. Khamis Kigwangalla, ametangaza rasmi nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akitaja vipaumbele vikuu vitatu ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya.
Kigwangalla ambaye alitangaza nia yake hiyo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Nzega mkoani Tabora, alisema ameamua kuchukua uamuzi huo kwani ana dhamira njema, hofu ya Mungu na anachukia rushwa.
Alisema Tanzania ya sasa inahitaji kuongozwa na vijana ambao wana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SIJ6trQmj_4/XqB7-DHj3wI/AAAAAAALn3g/tDRpRXqkA8QlKDXqcLqISaAVu-J5H2foACLcBGAsYHQ/s72-c/C.jpg)
DC aagiza kila mwananchi kupambana na Corona kwa hiari
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameagiza kila mwananchi kuhakikisha anapambana na virusi vya Corona (COVID-19) kwa hiari ili taifa liweze kubaki salama.
Msafiri ametoa agizo hilo mapema alfajiri ya leo April 22 2020 wakati akiongoza zoezi la utakasaji mabasi yanayoelekea mikoa mingine kutokea kituo cha mabasi Njombe mjini kwa Croline,zoezi ambalo limeratibiwa na halmashauri ya mji wa Njombe.
“Kila mwananchi ajione ni mdau katika zoezi la kupambana na virusi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mj1bnT_AkVI/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-8dol64d2_MQ/VYrSDKCN_HI/AAAAAAAACOk/78P8GtuH3Xs/s72-c/DonationTin2.jpg)
KILA MWANANCHI TANZANIA ANATAKIWA KUCHANGIA SH.100/=. UNAJUA SABABU?
![](http://2.bp.blogspot.com/-8dol64d2_MQ/VYrSDKCN_HI/AAAAAAAACOk/78P8GtuH3Xs/s400/DonationTin2.jpg)
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking news. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wYgq55_bkZM/VfZHEnL26kI/AAAAAAAH4mE/awweCxAMf74/s72-c/545.jpg)
KILA MWANANCHI ANAWAJIBU WA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI-BALOZI ALI IDDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wYgq55_bkZM/VfZHEnL26kI/AAAAAAAH4mE/awweCxAMf74/s640/545.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZD499BXS_gU/VfZHDah8fmI/AAAAAAAH4l8/QqEkKsl2xbk/s640/550.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y2rVtjU9ziw/XmoeczA4OII/AAAAAAALiuc/g7SLG3gmjmkPj7Kz4vOW_6x9g_TVANXlgCLcBGAsYHQ/s72-c/8de392a2-fbdf-4daa-852c-4db5fb536ace.jpg)
SERIKALI YAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA WILAYA YA CHATO KATIKA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Wilaya hiyo na kukutana na Menejimenti, Walimu pamoja na kukagua ujenzi wa shule mbalimbali zilizoboreshwa na zinazoendelea kuboreshwa Wilayani hapo.
Mweli amesema anatambua jitihada kubwa zinazofanywa katika eneo hili la Elimu ikiwa ni pamoja na kuanzisha ...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-frYtxAmpnAw/UzWn56PnS2I/AAAAAAAAMo8/CNgj0KMZy7w/s72-c/12.jpg)
Mwananchi wa Kata Pera waridhishwa na hotuba za Ridhiwani Kikwete,kwani zinawagusa katika kila nyanja
![](http://4.bp.blogspot.com/-frYtxAmpnAw/UzWn56PnS2I/AAAAAAAAMo8/CNgj0KMZy7w/s1600/12.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
HLI kuendeleza elimu ya kutetea maisha
SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Maisha ya Binadamu (HLI) limejipanga kuendelea kutoa elimu ya kutetea maisha ya binadamu asiyeweza kujitetea. HLI pia imedhamiria kupambana na utoaji mimba ili kuendeleza sheria...