HLI kuendeleza elimu ya kutetea maisha
SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Maisha ya Binadamu (HLI) limejipanga kuendelea kutoa elimu ya kutetea maisha ya binadamu asiyeweza kujitetea. HLI pia imedhamiria kupambana na utoaji mimba ili kuendeleza sheria...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai
HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Jitihada za kuendeleza elimu nchini ni za kila mwananchi
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Wewe na mimi tunafanya nini kuendeleza elimu?
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Nisha kuwapa elimu ya maisha mashabiki
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amesema anatarajia kuachia kazi yake mpya aliyoipa jina la ‘Shida’, ambayo itatoa mafunzo kwa mashabiki kukabiliana na hali yoyote ya maisha.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Nisha alisema filamu hiyo inatarajia kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu, ambapo ameweza kumshirikisha nguli mwingine, Gabo.
“Mashabiki wakae tayari kwa ujio wangu mpya naamini watajifunza vitu vingi vinavyohusu maisha yetu ya Kitanzania...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ImhZSIXCWg8/Vin8E_D-I5I/AAAAAAAIB5E/yn6ba38lpx8/s72-c/pix%2B3.jpg)
ELIMU YA STADI ZA MAISHA KUOKOA KUNDI KUBWA LA VIJANA WALIO NJE YA SHULE
![](http://3.bp.blogspot.com/-ImhZSIXCWg8/Vin8E_D-I5I/AAAAAAAIB5E/yn6ba38lpx8/s640/pix%2B3.jpg)
Na: Genofeva Matemu - MaelezoILIGUNDULIKA kuwa ulimwenguni kote na hususan nchini Tanzania, Vijana walio nje ya shule ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari ya magonjwa yanayoenea kwa njia ya ngono, VVU na UKIMWI kwa kutokuwa na taarifa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZBwGXAoIOLc/VH2jBwJZl5I/AAAAAAAG0xg/aheg_imKBsc/s72-c/1.jpg)
Wazazi nchini waaswa kuzungumza na watoto wao juu ya elimu na swala zima la maisha
Hayo yamesema na Mkurugenzi wa Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) Lulu Ng'wanakilala katika maadhimisho ya kupinga unyanyasajji kwa watoto pamoja na maambukizi ya ukimwi nchini.
"Wazazi na jamii kwa ujumla wanapaswa kukemea tabia ya unyanyasaji hasa wanafunzi wanaofanyiwa na makondakta wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9lhQsMnv1qk/U-IQw_AnNzI/AAAAAAAF9i4/4PTuuTHCJM8/s72-c/Mama+Salma.jpg)
Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9lhQsMnv1qk/U-IQw_AnNzI/AAAAAAAF9i4/4PTuuTHCJM8/s1600/Mama+Salma.jpg)
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...