Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HLI kuendeleza elimu ya kutetea maisha

SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Maisha ya Binadamu (HLI) limejipanga kuendelea kutoa elimu ya kutetea maisha ya binadamu asiyeweza kujitetea. HLI pia imedhamiria kupambana na utoaji mimba ili kuendeleza sheria...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Fedha za jinai zitachagua watawala wa kutetea na kuendeleza jinai

HIVI sasa tumefikia hatua muhimu katika mchakato wa kuchagua watawala wetu watakaotawala nchi na

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Mwananchi

Jitihada za kuendeleza elimu nchini ni za kila mwananchi

Uzoefu wangu wa kufuatilia masuala ya elimu, unaonyesha aghlabu matatizo mengi katika sekta ya elimu yanasababishwa na Serikali kama mdau mkuu

 

11 years ago

Mwananchi

Wewe na mimi tunafanya nini kuendeleza elimu?

Uzoefu wangu wa kufuatilia masuala ya elimu unaonyesha aghlabu matatizo mengi katika sekta ya elimu yanatokana na Serikali kama mdau mkuu.

 

11 years ago

Michuzi

MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)

Mlezi wa chama cha wake wa viongozi Mama Tunu Pinda akipokea vitabu vyenye thamani ya shilngi milioni 35 kutoka kwa Meneja Mkuu wa kituo cha kuendeleza vipaji kwa vijana THT Bwana Mwita Mwaikenda na anaye shuhudia ni Mwenyekiti wa chama cha wake wa viongozi Germina Lukuvi msaada huo wa vitatabu ni kwaajili ya kusaidia Elimu kwa watoto na vijana wenye ulemavu wa ngozi (ALIBINO) sherehe hiyo ya makabidhiano imefanyika katika makazi ya waziri mkuu jijini Dar es salaam.Picha na Chris...

 

10 years ago

Mtanzania

Nisha kuwapa elimu ya maisha mashabiki

nishaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amesema anatarajia kuachia kazi yake mpya aliyoipa jina la ‘Shida’, ambayo itatoa mafunzo kwa mashabiki kukabiliana na hali yoyote ya maisha.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Nisha alisema filamu hiyo inatarajia kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu, ambapo ameweza kumshirikisha nguli mwingine, Gabo.
“Mashabiki wakae tayari kwa ujio wangu mpya naamini watajifunza vitu vingi vinavyohusu maisha yetu ya Kitanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu haikuwa kikwazo katika maisha yangu

Jina la Madaraka Kilangi (52) kwa wenye malori makubwa aina ya Scania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini lipo mdomoni.

 

9 years ago

Michuzi

ELIMU YA STADI ZA MAISHA KUOKOA KUNDI KUBWA LA VIJANA WALIO NJE YA SHULE

Afisa vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Godfrey Massawe (aliyesimama) akifuatilia majadiliano ya wawezeshaji kitaifa wakati wa kazi za kikundi kwenye Mafunzo ya Uwezeshaji wa Stadi za Maisha yaliyofanyika Kanda ya Ziwa.


Na: Genofeva Matemu - Maelezo

ILIGUNDULIKA kuwa ulimwenguni kote na hususan nchini Tanzania, Vijana walio nje ya shule ni miongoni mwa makundi yaliyo katika hatari ya magonjwa yanayoenea kwa njia ya ngono, VVU na UKIMWI kwa kutokuwa na taarifa na...

 

10 years ago

Michuzi

Wazazi nchini waaswa kuzungumza na watoto wao juu ya elimu na swala zima la maisha

Wazazi nchini Tanzania wametakiwa kuzungumza na watoto wao umuhimu wa elimu na hali halisi ya maisha ili kuepuka kujiingiza kwenye vitendo viovu  ikiwamo mimba za utotoni na maambukizi ya ukimwi.
Hayo yamesema na Mkurugenzi wa Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) Lulu Ng'wanakilala katika maadhimisho ya kupinga unyanyasajji kwa watoto pamoja na maambukizi ya ukimwi nchini.
"Wazazi na jamii kwa ujumla wanapaswa kukemea tabia ya unyanyasaji hasa wanafunzi wanaofanyiwa na makondakta wa...

 

11 years ago

Michuzi

Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi

Na Anna Nkinda - Washington
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria  hafla fupi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani