Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waraka wa Muungano ni zimwi?

BUNGE la Maalumu linaloendelea na vikao vyake mkoani Dodoma kwa takriban miezi miwili sasa limekuwa kizungumkuti cha aina yake. Baadhi ya watu Zanzibar, wameanza kuhisi kikao hiki cha kihistoria kimegeuzwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waraka halali wa Muungano utumike Bunge la Katiba

WASWAHILI wana msemo maarufu unaoeleza kuwa mambo kangaja huenda yakaja. Sasa wakati waheshimiwa wetu wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya baadhi yao kutaka waongezwe posho ili watuwakilishe vizuri katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

TRA na zimwi la casino economy

MIONGONI mwa viongozi wakuu wa nchi waliofanikiwa kuiondoa nchi husika kutoka kiwango fulani cha

Godfrey Dilunga

 

10 years ago

Vijimambo

HONGERA MZEE WA WARAKA

001_resized_5 (1)Juu na chini mwandishi wa makala katika safu ya Waraka kutoka Houston ndani ya gazeti la Raia Mwema, Innocent Mwesiga, Pharm.D na mke wake Carretta Mwesiga, FNP wakifurahia miaka 10 ya ndoa yao hivi karibuni katika visiwa vya Bahamas. (Kutoka blog hii tunawapa hongera sana) 002_resized_6(Picha kwa hisani ya Sunday Shomari).

 

10 years ago

Mwananchi

Waraka wa Zitto wamponza Waitara

>Sakata la waraka wa Mkakati wa Mabadiliko uliosababisha kuvuliwa vyeo ndani ya Chadema kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe limeibuka kwa sura mpya, safari hii likimkwamisha Ofisa wa Sera na Utafiti wa chama hicho makao makuu, Mwita Waitara kuwania uongozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waraka wa Katiba wa CCM hadharani

Waraka huo wa kurasa 22 unaoainisha mambo yenye masilahi kwa chama hicho, unawataka wajumbe wake kuutetea bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

JK atoe tamko waraka wa CCM’

Waraka unaodaiwa kuandaliwa na CCM kwa ajili kuwaelekeza wajumbe wake kwenye Bunge Maalumu la Katiba kutetea msimamo wa Serikali mbili umepokewa kwa hisia tofauti huku Rais Jakaya Kikwete akitakiwa kujitokeza hadharani kueleza msimamo wake.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hatuhusiki na waraka unaopinga rasimu’

Jumuiya ya Mtakatifu Thomas more Dodoma, imekanusha waraka unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ukipinga rasimu ya Katiba, pamoja na uchochezi wa kidini.

 

10 years ago

Mwananchi

Waraka wa Warioba kwa Wasira

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameandika waraka kumjibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira kwa kauli yake kuwa ndiye aliyemkimbiza CCM kwenda upinzani mwaka 1995.

 

11 years ago

GPL

WARAKA WA ABSALOM KIBANDA KWA JK

 Absalom Kibanda.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani