Kingunge joins campaign
Chadema presidential candidate Edward Lowassa yesterday took Arusha by storm as he addressed a rally at Sinoni Primary School grounds.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBC18 May
Leonardo DiCaprio joins DR Congo gorilla park campaign after attack
9 years ago
TheCitizen19 Aug
ELECTION SEASON FUN : Wagagagigikoko turned into campaign platform a campaign issue
10 years ago
Mwananchi14 Jan
HONGERA KINGUNGE.
11 years ago
Habarileo28 Apr
Kingunge: Sijabebwa
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewashangaa watu waliomtuhumu kuwa amebebwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
Habarileo20 Mar
Serikali 3 zamkera Kingunge
MWANASIASA wa siku nyingi na muumini wa siasa ya ujamaa, Kingunge Ngombale-Mwiru, amesema Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Warioba imeangaliza zaidi kero za Muungano katika kudai Serikali tatu, hali ambayo inavunja Muungano.
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Kingunge quits CCM
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Kingunge: Mabadiliko lazima
NA FREDY AZZAH, ARUSHA
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, jana kwa mara ya kwanza alipanda jukwaani kumnadi mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na kusema mabadiliko ni lazima.
Kingunge aliyasema hayo jijini Arusha kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni.
Kingunge alihutubia huku mvua ikinyesha, lakini wananchi waliokuwa eneo hilo hawakuondoka.
“Historia yangu, nimeshiriki katika kuleta mabadiliko na...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kingunge? Waseme wengine
UAMUZI wa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru kujiondoa kwenye chama hicho
Waandishi Wetu
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kingunge awalipua CCM
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale – Mwiru, amesema makada wenzake wanaomshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, wanakitukana Chama...