Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kingunge? Waseme wengine

UAMUZI wa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru kujiondoa kwenye chama hicho

Waandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANAOAFIKI SAKATA LA IPTL LIENDELEE WASEME NDIYO, WASIOAFIKI WASEME..!

SAKATA la IPTL na kizungumkuti cha akaunti tata ya Escrow linazidi kufukuta na kutikisa taifa. Misingi ya amani ya nchi inazidi kuharibiwa kila siku, ufisadi, chuki na uhasama baina ya makundi na masilahi ni kansa inayoshambulia uhai wa Tanzania. Ninapotazama mambo ya nchi yanavyokwenda kitotototo nasikitika; lakini kubwa zaidi naamini kuwa kuna baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali hawataki kuliona taifa hili likistawi na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani waseme ‘haya twende’

MTOTO anapozaliwa hutoa kilio na anapochelewa kufanya hivyo huonekana kuwa sio jambo la kawaida na kuna kuwepo wasi wasi juu ya hali ya mtoto huyo. Inapotokea mtoto hajatoa hicho kilio, mzazi kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Aslay aja na ‘Wacha Waseme’

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, anatarajiwa kuachia kibao kipya kinachojulikana kwa jina la ‘Wacha Waseme’ hivi karibuni. Dogo Aslay anayetamba na wimbo wake mpya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini waseme Sitta aliwaambia nini?

RAIS wangu, siku chache zilizopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta aliwatembelea viongozi wawili wa dini, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Shaban bin...

 

10 years ago

Mwananchi

HONGERA KINGUNGE.

Watanzania tukithubutu tunaweza. Awamu ya Tano tunataka Rais anayejua matatizo ya Watanzania si kumchagua kwa kuangalia chama, ukabila, udini, uzuri wa sura, uwezo wa kifedha, ucheshi au kwa kigezo tu hana kashfa.

 

11 years ago

Habarileo

Kingunge: Sijabebwa

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewashangaa watu waliomtuhumu kuwa amebebwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

9 years ago

TheCitizen

Kingunge quits CCM

CCM cadre Kingunge Ngombale Mwiru quits the party siting infringement of the party's constitution as the main reason.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kingunge asuta viongozi

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru, amewasuta viongozi wa Serikali akisema wameacha mfumo wa mapinduzi ya kimaendeleo aliyouanzisha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, hatua iliyoifanya Tanzania kuachwa na dunia na...

 

9 years ago

Habarileo

Makamba ampasha Kingunge

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba amemshangaa Kingunge Ngombale-Mwiru kutamka kwamba chama hicho hakijafanya chochote wakati ndiye aliyeshiriki kuandika vitabu kadhaa vya mipango ya chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani