Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAOAFIKI SAKATA LA IPTL LIENDELEE WASEME NDIYO, WASIOAFIKI WASEME..!

SAKATA la IPTL na kizungumkuti cha akaunti tata ya Escrow linazidi kufukuta na kutikisa taifa. Misingi ya amani ya nchi inazidi kuharibiwa kila siku, ufisadi, chuki na uhasama baina ya makundi na masilahi ni kansa inayoshambulia uhai wa Tanzania. Ninapotazama mambo ya nchi yanavyokwenda kitotototo nasikitika; lakini kubwa zaidi naamini kuwa kuna baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali hawataki kuliona taifa hili likistawi na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Kingunge? Waseme wengine

UAMUZI wa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru kujiondoa kwenye chama hicho

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani waseme ‘haya twende’

MTOTO anapozaliwa hutoa kilio na anapochelewa kufanya hivyo huonekana kuwa sio jambo la kawaida na kuna kuwepo wasi wasi juu ya hali ya mtoto huyo. Inapotokea mtoto hajatoa hicho kilio, mzazi kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Aslay aja na ‘Wacha Waseme’

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, anatarajiwa kuachia kibao kipya kinachojulikana kwa jina la ‘Wacha Waseme’ hivi karibuni. Dogo Aslay anayetamba na wimbo wake mpya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa dini waseme Sitta aliwaambia nini?

RAIS wangu, siku chache zilizopita, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta aliwatembelea viongozi wawili wa dini, Muadhama Polycarp Kardinali Pengo na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Shaban bin...

 

10 years ago

Mwananchi

Wataka sakata la IPTL bungeni

Bunge limetakiwa kuwachukulia hatua za kisheria wale wote waliohusika na sakata la IPTL, badala ya kupigia kelele jambo linalosababisha masuala muhimu yanayowahusu wananchi kutojadiliwa bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Sakata IPTL lazidi kuwavuruga wabunge

>Sakata la fedha za IPTL limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wabunge kudai kurubuniwa na wenzao kwa fedha ili wakwamishe Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, wakidai balozi mmoja yuko nyuma ya mpango huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la IPTL, sasa wanasiasa waonywa

Wanasiasa wametakiwa kukaa kimya na kusubiri matokeo ya ripoti ya IPTL itakayotolewa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) watakapoendelea kuongea watasababisha kuchakachuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27

Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza kushughulikia suala hilo.

 

10 years ago

GPL

KAMPUNI YA VIP YAFAFANUA SAKATA LA IPTL‏

 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea James Rugemalira akizungumza na waandishi wa habari pamoja na jopo la wanasheria kutoka Marekani (hawapo pichani kuhusu jambo hilo Dar es Salaam jana.   Mwanasheria maarufu kutoka Amterdam Holand, Dk. Camilo Schutte (kushoto), akitoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu jambo hilo. Kulia ni Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya VIP na Mabibo Beer Wines and Spirits Limited,… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani