Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet!

Meridianbet wameanzisha Promosheni ya TIKETI YA KWANZA JUU YETU ambayo tiketi yako ya kwanza daima haiwezi kupoteza, kwa sababu kama haijashinda –Watakurudishia hadi Tsh 12,500 ya pesa uliyolipia tiketi yako katika akaunti ya bonasi ya kubetia. 
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Sababu Kumi za Kujaribu Casino Heist ya Meridianbet,Sherehe ya Ushindi imeanza

MERIDIANBET inakuletea toleo jingine makini la msisimko wa Casino katika mchezo wa CASINO HEIST-na hii sio sloti ya kawaida tu.
Kila kipengele cha mchezo huu wa kufurahisha wa Casino ya Meridianbet unaweza kucheza katika aina zote za simu sambamba na kuundwa kwake kwa umakini ili kuwapa burudani kabambe wachezaji wake. 
Kitu cha kwanza, grafiki zake ni za ajabu na hutengeneza mazingira ya kuwepo kwenye Kasino halisi, wakati kitu cha kuvutia zaidi kikiwa katika mandhari ya mchezo - Casino...

 

5 years ago

Michuzi

Ongeza Salio kwenye akaunti yako ya Meridianbet kwa Airtel Money na Upate zaidi

Kwa Meridianbet, muamala wako una thamani kuliko wakati wowote! Ongeza salio kwenye akaunti yako ya Meridianbet.co.tz kwa Airtel Money na upate ushindi mkubwa unapoanza tu kubashiri online kwa kupata 5% ya bonasi kwa kila muamala wa kuweka pesa.
Ukiwa na Meridianbet, ofa hii mpya kabisa inamaanisha sasa unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kwa kupitia Airtel Money. Haijawahi kuwa rahisi hivi na kuweka pesa kunaweza kukamilika kwa kufuata hatua chache tu.
Kuweka pesa kwenye akaunti, Piga...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA DAIMA YAENDELEA NA USHINDI WA KUSUA SUA TAIFA

Wachezaji wa timu ya Yanga, wakicheza kwa pamoja kumpongeza mwenzao Haruna Niyinzima baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania bara uliochezwa leo jioniu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya JKT Ruvu. Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-1, ambayo yalifungwa na Kelvin Yondani katika dakika ya 35 na Haruna Niyonzima kaika dakika ya 68, huku bao la JKT Ruvu likifungwa na Jabir Aziz katika dakika ya 90. Mohamed Faki wa JKT...

 

9 years ago

Bongo5

Watafiti wagundua hili kuhusiana na lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto

sloppy-handwriting-2

Haijalishi kama utaweza kuiongea kwa ufasaha au hukumbuki hata neno moja, lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto imeshaubadili ubongo wako kiasi ambacho hakuwezi kuwa na mabadiliko tena.

sloppy-handwriting-2

Watafiti wa nchini Canada wamebaini kuwa kusikia lugha ya kwanza enzi za utoto kunaathiri ubongo wa mtu na jinsi anavyokabiliana na lugha nyingine miaka mingi baadaye.

Hii hutokea hata kwa wale ambao hawajazungumza lugha yao ya kwanza katika maisha yao yote na hata kwa wale wanaomini kuwa wameisahau...

 

10 years ago

Michuzi

The Nyama Choma Festival Dar 6 Desemba -Jipatie Tiketi Yako Sasa Kwa sh 7000 tu.

Tembelea Vituo Vya Mauzo Ujipatie Tiketi Yako Sasa.1.Samaki Samaki-Mlimani City na Posta2.Tripple 7  - Kawe3.Didis - Oysterbay4.Born 2 Shine - Mwenge

 

9 years ago

GPL

IYANYA: TIKETI YA KCEE NDIYO ILINIFIKISHA LAGOS KWA MARA YA KWANZA

Iyanya akiwa na Kcee. Lagos Nigeria SI watu wengi wanafahamu kwamba safari ya kwanza ya Iyanya Onoyom Mbuk, kiongozi wa kundi la Made Men Music Group (Triple MG) kwenda jijini Lagos iligharimiwa na Kingsley Chinweike Okonkwo, ambaye anafahamika zaidi kama KCee. Mwimbaji huyo maarufu kwa kibao cha ‘Limpopo', ndiye aliyemleta Iyanya jijini Lagos kutoka Calabar, Jimbo la Cross River. Iyanya alifichua hilo wakati wa kuzindua...

 

10 years ago

Bongo5

Mamia wafurika kuangalia #Furious7 kwa mara ya kwanza kwenye majumba ya sinema Dar tiketi zaisha

Filamu ya Fast & Furious 7 imezinduliwa leo April 3 duniani kote. Tanzania ni moja ya nchi zilizoionesha filamu hiyo kwa mara ya kwanza. Hamu kubwa ya mashabiki wa filamu nchini, imeyafanya majumba ya sinema jijini Dar es Salaam kuuza tiketi nyingi kuliko kawaida. Meneja wa Century Cinemax iliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani