IYANYA: TIKETI YA KCEE NDIYO ILINIFIKISHA LAGOS KWA MARA YA KWANZA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/iyy1.jpg)
Iyanya akiwa na Kcee. Lagos Nigeria SI watu wengi wanafahamu kwamba safari ya kwanza ya Iyanya Onoyom Mbuk, kiongozi wa kundi la Made Men Music Group (Triple MG) kwenda jijini Lagos iligharimiwa na Kingsley Chinweike Okonkwo, ambaye anafahamika zaidi kama KCee. Mwimbaji huyo maarufu kwa kibao cha ‘Limpopo', ndiye aliyemleta Iyanya jijini Lagos kutoka Calabar, Jimbo la Cross River. Iyanya alifichua hilo wakati wa kuzindua...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Apr
Mamia wafurika kuangalia #Furious7 kwa mara ya kwanza kwenye majumba ya sinema Dar tiketi zaisha
10 years ago
Bongo516 Mar
New Video: Kcee, Harrysong, Iyanya — Feel It
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rqGbFR24pfc/VV9mId8Q7kI/AAAAAAACfk4/ml4dIFjHehg/s72-c/kcee.jpg)
SEE Singer Kcee Hawking MTN Recharge Cards On The Streets Of Lagos
![](http://2.bp.blogspot.com/-rqGbFR24pfc/VV9mId8Q7kI/AAAAAAACfk4/ml4dIFjHehg/s640/kcee.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txPn_8RDars/VV9mO8Km7kI/AAAAAAACflA/4alua5uw-u4/s640/kc1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiFttdj5q5M/VV9mQ6BmfCI/AAAAAAACflI/5Pwyxk2EOtc/s640/kc2.jpg)
10 years ago
Bongo513 Oct
Tudd Thomas atengeneza ngoma zingine za Davido, Iyanya na KCEE
9 years ago
Bongo517 Dec
Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos
![12301250_207304429604231_67909760_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301250_207304429604231_67909760_n-300x194.jpg)
Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.
Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.
“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.
Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia
10 years ago
Vijimambo09 Jan
YAYA TOURE NDIYO MBABE WA SOKA AFRIKA KWA MARA YA NNE
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/08/150108235754_yaya_toure_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/TIFFAH-DIAMOND-4.jpg?width=650)
KWA MARA YA KWANZA TIFFAH LIVE!
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
DJ Kflip aachia mixtape nyingine kwa youtube isikilize kwa mara ya kwanza hapa
Breakfast mix is a radio show mixed by DJ K FLIP Every Monday to Friday 7am to 10am (EAT)… Download JEMBE FM APP on GOOGLE PLAYSTORE to listen worldwide.
Akizungumza na Gsengo Blog DJ huyo anayepiga mzigo ndani ya moja ya Hottest radio station inayo kuja kwa kasi toka pande za Rock City, amesema kuwa huo ni mwanzo wa mpango wake wa kuachia Mix Tape kila wiki kupitia Youtube na rasmi ameanza kufanya hivyo wiki hii (leo) yenye historia kwa taifa la Tanzania ambapo taifa linashuhudia...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Rais Kikwete aweka historia nyingine: Asafiri kwa treni ya TAZARA kwa mara ya kwanza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipanda treni ya TAZARA kuelekea Kisaki Mkoani Morogoro akiwa katika ziara yake ya mkoa huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Agosti 21, 2014, ameweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.
Rais Kikwete,...