Mamia wafurika kuangalia #Furious7 kwa mara ya kwanza kwenye majumba ya sinema Dar tiketi zaisha
Filamu ya Fast & Furious 7 imezinduliwa leo April 3 duniani kote. Tanzania ni moja ya nchi zilizoionesha filamu hiyo kwa mara ya kwanza. Hamu kubwa ya mashabiki wa filamu nchini, imeyafanya majumba ya sinema jijini Dar es Salaam kuuza tiketi nyingi kuliko kawaida. Meneja wa Century Cinemax iliyopo Mlimani City jijini Dar es Salaam, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Dec
Wapeni movie nzuri, wabongo wanaweza kwenda kuangalia filamu za kibongo kwenye majumba ya sinema

Jumamosi hii nilipata bahati ya kwenda kuangalia filamu ya Going Bongo kwenye jumba la sinema la Century Cinemax lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Going Bongo ni filamu pekee iliyochezwa na Watanzania, inayooneshwa hapo. Kwa wiki hii filamu zingine zinazooneshwa ni pamoja na The Peanut Movie, The Good Dinosaur, Tamasha, Spectre, Hate Story 3, In The Heart of The Sea na zingine.
Mimi niliangia kuangalia Going Bongo kuanzia saa mbili usiku, ikiwa ni siku ya pili tangu ianze...
9 years ago
Bongo519 Nov
Filamu ya Going Bongo kuanza kuoneshwa kwenye majumba sinema Dar kuanzia Dec 11

Filamu ya Going Bongo itaanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema jijini Dar es Salaam, ikiwemo Century Cinemax kuanzia December 11.
Filamu hiyo iliyoshinda tuzo ya Best East African Film (ZIFF) na Best International Film (BEFFTA UK) imechezwa na Ernest Napoleon.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo505 Dec
Kuoneshwa kwa ‘Going Bongo’ kwenye majumba ya sinema Tanzania kutaandika historia muhimu – Ernest Napoleon

Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon anaamini kuwa kuoneshwa kwa filamu ya Going Bongo kwenye majumba ya sinema nchini kutaandika historia muhimu kwenye tasnia ya filamu ya Tanzania.
Napoleon amedai kuwa uoneshwaji wa filamu kwenye majumba ya sinema ndio msingi wa mafanikio kwa soko la filamu katika nchi zilizoendelea.
Filamu yake ya Going Bongo itaanza kuoneshwa December 11, kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
“Tunajaribu...
9 years ago
Bongo528 Dec
Star Wars: The Force Awakens aliyoigiza Lupita Nyong’o yaingiza $1bn siku 12 baada ya kuingia kwenye majumba ya sinema

Star Wars: The Force Awakens imekuwa filamu iliyoingiza dola bilioni 1 haraka zaidi kwenye majumba ya sinema duniani.
Filamu hiyo ya JJ Abrams imefikia mafanikio hayo siku 12 tu baada ya kutoka na kuvunja rekodi iliyopita ya siku 13 iliyowekwa na filamu Jurassic World June, mwaka huu.
Hata hivyo Jurassic World ilipata mafanikio hayo kwa kuoneshwa China zaidi ambako The Force Awakens bado haijaoneshwa huko.
Star Wars pia iliingia fedha nyingi siku ya Christmas kwa Marekani kwa kuvuta $49.3m....
10 years ago
GPL
IYANYA: TIKETI YA KCEE NDIYO ILINIFIKISHA LAGOS KWA MARA YA KWANZA
10 years ago
Bongo528 Sep
Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Ridhiwani kumbe jembe! mamia wafurika kwenye mikutano yake Singida
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa, Ridhiwani Kikwete akihutubia mamia ya wakazi wa tarafa ya Itigi jimbo la Manyoni magharibi.
Na Nathaniel Limu, Itigi
ZIARA ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM (NEC) Taifa, Ridhiwani Kikwete, aliyoifanya katika jimbo la Manyoni magharibi mkoani Singida hivi karibuni, imefunika kwa kuhudhuriwa na mamia ya wana CCM na wanachi kwa ujumla, kitendo ambacho hakikutarajiwa.
Aidha, hotuba zake alizotoa kwenye mikutano ya hadhara iliyofanyika katika vijiji...
10 years ago
MichuziYAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty