YANGA DAIMA YAENDELEA NA USHINDI WA KUSUA SUA TAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yDVQeAsgMU4/VDFUZtlbE7I/AAAAAAABKW8/mQZpsZQbW5g/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24%2BOktoba%2B6.jpg)
Wachezaji wa timu ya Yanga, wakicheza kwa pamoja kumpongeza mwenzao Haruna Niyinzima baada ya kuifungia timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania bara uliochezwa leo jioniu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya JKT Ruvu. Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-1, ambayo yalifungwa na Kelvin Yondani katika dakika ya 35 na Haruna Niyonzima kaika dakika ya 68, huku bao la JKT Ruvu likifungwa na Jabir Aziz katika dakika ya 90.
Mohamed Faki wa JKT...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet!
![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili...
9 years ago
Vijimambo13 Sep
YANGA YAANZA KUKAA KILELENI BAADA YA USHINDI WA 2 BILA MAJIBU UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Donald-Ngoma.jpg)
Donald Ngoma akishangilia goli lake kwa kumkumbatia kocha mkuu wa timu ya Yanga Hans van der Pluijm
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Simon-Msuva-1.jpg)
Mabingwa watete wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Yanga SC leo imefanikiwa kuanza vyema kuutetea ubingwa wake kwa kuibuka na ushindi wa oli 2-0 mbele ya Coastal Union ya jijini Tanga kwenye mchezo pekee wa ligi uliopigwa leo jioni kunako dimba la Taifa.
Goli la...
11 years ago
MichuziNdovu Special Malt yaendelea kutangaza ushindi wake jijini Arusha
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Uandikishaji serikali za mitaa waanza kwa kusua
JANA ikiwa ni siku ya kwanza ya uandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14 mwaka huu, Tanzania Daima imebaini mwitikio wa wananchi...
9 years ago
Habarileo16 Oct
Taifa Stars yaundiwa kamati ya ushindi
KATIKA kuhakikisha timu ya soka ya Tanzania inafanya vizuri katika kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2017 na fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2018 nchini Urusi, kamati maalumu ya ushindi imeundwa kuisaidia timu hiyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2osnNF70-B0/VVXYlpCK9rI/AAAAAAABZZs/j7ofU4yPoa4/s640/8.jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
10 years ago
GPLYANGA YAENDELEA KUJIANDAA NA KAGAME