Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watafiti wagundua hili kuhusiana na lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto

sloppy-handwriting-2

Haijalishi kama utaweza kuiongea kwa ufasaha au hukumbuki hata neno moja, lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto imeshaubadili ubongo wako kiasi ambacho hakuwezi kuwa na mabadiliko tena.

sloppy-handwriting-2

Watafiti wa nchini Canada wamebaini kuwa kusikia lugha ya kwanza enzi za utoto kunaathiri ubongo wa mtu na jinsi anavyokabiliana na lugha nyingine miaka mingi baadaye.

Hii hutokea hata kwa wale ambao hawajazungumza lugha yao ya kwanza katika maisha yao yote na hata kwa wale wanaomini kuwa wameisahau...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Watafiti watafsiri lugha wanayotumia Sokwe

Watafiti wanasema kuwa wameweza kutafsiri maana ya ishara za mawasiliano zinazotumiwa na Sokwe wanaoishi msituni

 

5 years ago

Michuzi

Tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet!

Meridianbet wameanzisha Promosheni ya TIKETI YA KWANZA JUU YETU ambayo tiketi yako ya kwanza daima haiwezi kupoteza, kwa sababu kama haijashinda –Watakurudishia hadi Tsh 12,500 ya pesa uliyolipia tiketi yako katika akaunti ya bonasi ya kubetia. 
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili...

 

9 years ago

Bongo5

Young Dee afanya hili kwa mara ya kwanza

Young Dee ameelezea furaha yake baada ya kununua gari kwa mara ya kwanza kwa pesa zilizotokana na muziki wake, siku chache baada ya kuachana na kampuni iliyokuwa ikimsimamia. Young Dee alisema katika maisha yake hakuwahi kununua gari kwa kutumia pesa yake. “Jinsi unavyopata maumivu makubwa kila mtu mwisho wake anayapokea tofauti, wengine wanajinyonga, wengine wanakata […]

 

10 years ago

GPL

KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!

KULWA Kikumba (Dude) ni mmoja wa vijana wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo. Alipata umaarufu mkubwa wakati ule akiwa stelingi wa mchezo uliojipatia mashabiki wengi wa Bongo Dar es Salaam. Umbo lake na utoto wake wa mjini, ulimfanya kuonekana kama ni tapeli wa kweli katika maisha ya kila siku ya kuhangaika jijini Dar es Salaam.Aliwafanya baadhi ya watu kuwa waathirika wa mchezo huo wa kwenye televisheni, kwani kila...

 

9 years ago

Bongo5

Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.

2F166FE700000578-3348507-And_baby_makes_four_Kim_with_her_first_child_daughter_North_two_-m-28_1449435844411

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza

Baghdad

Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.

Baghdad

Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;

“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”

Baghdad na mkewe

Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani