Watafiti wagundua hili kuhusiana na lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto
Haijalishi kama utaweza kuiongea kwa ufasaha au hukumbuki hata neno moja, lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto imeshaubadili ubongo wako kiasi ambacho hakuwezi kuwa na mabadiliko tena.
Watafiti wa nchini Canada wamebaini kuwa kusikia lugha ya kwanza enzi za utoto kunaathiri ubongo wa mtu na jinsi anavyokabiliana na lugha nyingine miaka mingi baadaye.
Hii hutokea hata kwa wale ambao hawajazungumza lugha yao ya kwanza katika maisha yao yote na hata kwa wale wanaomini kuwa wameisahau...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Watafiti watafsiri lugha wanayotumia Sokwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Tiketi yako ya kwanza daima ni ushindi ukiwa na Meridianbet!
![](https://1.bp.blogspot.com/-BVnKBHZc5QA/XsfqTlZ9_NI/AAAAAAALrTk/BQKFAxmxZqoxg_LZ8J4MFXDg_6wLbw6BQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B6.05.05%2BPM.jpeg)
Kwa kweli, timu ya Meridianbet imefanya ofa hii kuwa rahisi sana ili daima isiwe vigumu sana kupata USHINDI wako wa kwanza.
Ofa hii haina hasara kabisa, ni kwa wateja wote wapya WANAOJISAJILI na kufungua akaunti ya kubashiri na Meridianbet.co.tz. Ili...
9 years ago
Bongo524 Oct
Young Dee afanya hili kwa mara ya kwanza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXZ1UG9roL4Y05gaeg6-EBMfb6WkMEqeUIEvt3ofTSpMe-TczABMQHLzq6g8liabbMVGYKuHqdhHyPUUT5gpNgi/MAMAWEMA.jpg?width=650)
KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
9 years ago
Bongo504 Nov
Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza
![Baghdad](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Baghdad-300x194.jpg)
Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.
Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;
“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”
Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...