KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!
![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXZ1UG9roL4Y05gaeg6-EBMfb6WkMEqeUIEvt3ofTSpMe-TczABMQHLzq6g8liabbMVGYKuHqdhHyPUUT5gpNgi/MAMAWEMA.jpg?width=650)
KULWA Kikumba (Dude) ni mmoja wa vijana wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo. Alipata umaarufu mkubwa wakati ule akiwa stelingi wa mchezo uliojipatia mashabiki wengi wa Bongo Dar es Salaam. Umbo lake na utoto wake wa mjini, ulimfanya kuonekana kama ni tapeli wa kweli katika maisha ya kila siku ya kuhangaika jijini Dar es Salaam.Aliwafanya baadhi ya watu kuwa waathirika wa mchezo huo wa kwenye televisheni, kwani kila...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g4Nwu1Rn1jwFmbS0U0qT6Do*lMXK3GhVGIK3DFJJmGc2JVqjEqkAPv-FiVMA1ZI8Sl*I2gg457hv-b0QXZJkO*M/DUDE.jpg)
BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE
9 years ago
Bongo502 Dec
Watafiti wagundua hili kuhusiana na lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto
![sloppy-handwriting-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/sloppy-handwriting-2-300x194.jpg)
Haijalishi kama utaweza kuiongea kwa ufasaha au hukumbuki hata neno moja, lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto imeshaubadili ubongo wako kiasi ambacho hakuwezi kuwa na mabadiliko tena.
Watafiti wa nchini Canada wamebaini kuwa kusikia lugha ya kwanza enzi za utoto kunaathiri ubongo wa mtu na jinsi anavyokabiliana na lugha nyingine miaka mingi baadaye.
Hii hutokea hata kwa wale ambao hawajazungumza lugha yao ya kwanza katika maisha yao yote na hata kwa wale wanaomini kuwa wameisahau...
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Hatuwezi kushinda hivihivi
NA WAANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni za urais Zanzibar huku mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akisema hawawezi kushinda bila kujipanga vyema.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibandamaiti mjini Unguja jana.
“Hatuwezi kushinda hivi hivi, ni lazima tujipange vizuri, uchaguzi wa mwaka huu ni man to man (mtu na mtu)
“Lazima umjue mtu wako vizuri, umkabe ipasavyo, uombe kura na uipate. Uchaguzi huu pia ni kiambo kwa kiambo, nyumba kwa...
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGONJWA-SHY-3.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXV4DlwA9RMStLzhVhRm0EdVKxFCwJF9AcDRfa2rRWVJ7lGILfsSNSHhpYi5N1cK4L30dhO3RmIQ9l*eKDjf-dA0/Dude.jpg)
DUDE: KUZAAZAA NIMERITHI KWA BABA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*p6CNe22FkqLM-*xcxOB74QlbXH8L2DUi0wx1SP69dnJH08A*T*Jm4DX2yDJl70sm3-qMdtYo-LGeig3eGyD9J/BACKIJUMAA.jpg)
DUDE ANASWA NYUMBANI KWA ESTER
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!
Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.
Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.
“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOsuyikhCijCd**YNku3J*PRUY1Xs5xMfMgw-0v1nifJvBg2KcMtlkqN3zhDF7ELpflVSk6N00tx3f1q8gEcym9/dude.jpg)
GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI