Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!

KULWA Kikumba (Dude) ni mmoja wa vijana wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo. Alipata umaarufu mkubwa wakati ule akiwa stelingi wa mchezo uliojipatia mashabiki wengi wa Bongo Dar es Salaam. Umbo lake na utoto wake wa mjini, ulimfanya kuonekana kama ni tapeli wa kweli katika maisha ya kila siku ya kuhangaika jijini Dar es Salaam.Aliwafanya baadhi ya watu kuwa waathirika wa mchezo huo wa kwenye televisheni, kwani kila...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE

Stori: Imelda Mtema Kazi ipo! Taarifa ikufikie kwamba kutoka kwenye bonge la pati la bethidei ya mtoto na mke wa mwigizaji, William Mtitu, staa wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amejikuta akimkatisha mauno mkewe, Eva hadharani kitendo kilichozua minong’ono mingi baada ya mwanamama huyo kufanya kweli hadi jamaa akamwambia yatosha. Mke wa mwigizaji, William Mtitu, Yovitha akiwa na mwanaye...

 

9 years ago

Bongo5

Watafiti wagundua hili kuhusiana na lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto

sloppy-handwriting-2

Haijalishi kama utaweza kuiongea kwa ufasaha au hukumbuki hata neno moja, lugha ya kwanza uliyojifunza ukiwa mtoto imeshaubadili ubongo wako kiasi ambacho hakuwezi kuwa na mabadiliko tena.

sloppy-handwriting-2

Watafiti wa nchini Canada wamebaini kuwa kusikia lugha ya kwanza enzi za utoto kunaathiri ubongo wa mtu na jinsi anavyokabiliana na lugha nyingine miaka mingi baadaye.

Hii hutokea hata kwa wale ambao hawajazungumza lugha yao ya kwanza katika maisha yao yote na hata kwa wale wanaomini kuwa wameisahau...

 

9 years ago

Mtanzania

Hatuwezi kushinda hivihivi

DSC_3936NA WAANDISHI WETU

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni za urais Zanzibar huku mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akisema hawawezi kushinda bila kujipanga vyema.

Rais Kikwete alitoa kauli hiyo katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibandamaiti mjini Unguja jana.

“Hatuwezi kushinda hivi hivi, ni lazima tujipange vizuri, uchaguzi wa mwaka huu ni man to man (mtu na mtu)

“Lazima umjue mtu wako vizuri, umkabe ipasavyo, uombe kura na uipate. Uchaguzi huu pia ni kiambo kwa kiambo, nyumba kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.

2F166FE700000578-3348507-And_baby_makes_four_Kim_with_her_first_child_daughter_North_two_-m-28_1449435844411

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

9 years ago

GPL

MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI

Mustapha Haruna akiwa amevimba tumbo na kulazwa hospitali ya rufaa Bugando, Mwanza. Gabriel Ng’osha na Haruni Sanchawa Eeh! Mungu tenda miujiza! Ni maneno ambayo unaweza kuyasema ukimuona Mustapha Haruna (32), mkazi wa Ndala mkoani Shinyanga anayesumbuliwa na tumbo kujaa maji baada ya moyo wake kupanuka. CHANZO CHA UGONJWA Akizungumza na Uwazi, kwa njia ya simu kutoka mkoani Shinyanga mama mzazi wa Mustapha,  Hidaya Mrisho...

 

10 years ago

GPL

DUDE: KUZAAZAA NIMERITHI KWA BABA

Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa tabia ya kuzaa watoto wengi na kwa wanawake tofauti amerithi kwa baba yake kwani alikuwa na watoto kumi na tatu. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akipiga stori na gazeti hili, Dude alisema kwa sasa ana watoto saba kwa wanawake wanne tofauti na bado ataendelea kuongeza watoto wengine kwani haoni shida kwa sababu...

 

10 years ago

GPL

DUDE ANASWA NYUMBANI KWA ESTER

Gladness Mallya na Hamida Hassan
BAADA ya kukataa sana, hatimaye mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ amenaswa nyumbani kwa mwigizaji Ester Kiama ambaye inadaiwa kuwa ni mpenzi wake. Mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ akiwa nyumbani kwa mwigizaji mwenzake Ester Kiama. Tukio hilo lililofuatiliwa na makachero wetu wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM), lilijiri juzikati nyumbani kwa mtoto huyo mzuri mwenye mvuto wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.

Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.

“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...

 

11 years ago

GPL

GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI

Stori: waandishi wetu
GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu. Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ, lilikutwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani