Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DUDE: KUZAAZAA NIMERITHI KWA BABA

Na Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa tabia ya kuzaa watoto wengi na kwa wanawake tofauti amerithi kwa baba yake kwani alikuwa na watoto kumi na tatu. Staa wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akipiga stori na gazeti hili, Dude alisema kwa sasa ana watoto saba kwa wanawake wanne tofauti na bado ataendelea kuongeza watoto wengine kwani haoni shida kwa sababu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DUDE ANASWA NYUMBANI KWA ESTER

Gladness Mallya na Hamida Hassan
BAADA ya kukataa sana, hatimaye mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ amenaswa nyumbani kwa mwigizaji Ester Kiama ambaye inadaiwa kuwa ni mpenzi wake. Mwigizaji Kulwa Kikumba ‘Dude’ akiwa nyumbani kwa mwigizaji mwenzake Ester Kiama. Tukio hilo lililofuatiliwa na makachero wetu wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM), lilijiri juzikati nyumbani kwa mtoto huyo mzuri mwenye mvuto wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dude kutoa elimu zaidi kwa wanafunzi

dudeNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, amesema yeye kama kioo cha jamii hana budi kutumia muda wake kuelimisha wanafunzi ili waweze kufanya vizuri katika masomo yao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Dude alisema amekuwa akiwahamasisha wanafunzi, kupitia zawadi kama madaftari, vitabu, viatu hata sare za shule.
“Kama unavyojua mtoto unapompatia zawadi na kumuahidi mambo mazuri, lazima atajitahidi, nitaendelea kutembelea shule mbalimbali kuhamasisha...

 

11 years ago

GPL

GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI

Stori: waandishi wetu
GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu. Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ, lilikutwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.

Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.

“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...

 

10 years ago

GPL

KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!

KULWA Kikumba (Dude) ni mmoja wa vijana wanaofanya vizuri katika tasnia ya filamu Bongo. Alipata umaarufu mkubwa wakati ule akiwa stelingi wa mchezo uliojipatia mashabiki wengi wa Bongo Dar es Salaam. Umbo lake na utoto wake wa mjini, ulimfanya kuonekana kama ni tapeli wa kweli katika maisha ya kila siku ya kuhangaika jijini Dar es Salaam.Aliwafanya baadhi ya watu kuwa waathirika wa mchezo huo wa kwenye televisheni, kwani kila...

 

10 years ago

GPL

DUDE: FILAMU KWA BUKU, ‘NO’, NASEMA NOOO!

Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude. Stori: Shani Ramadhani
Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere

Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .

Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.

Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.

Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.

“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-8

ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA:
Ina maana akiamua kusema basi, halafu akaendelea na baba Pili atakuwa ameanza tabia ya kurukaruka…
“Kwani wewe kwa jina la mtoto wako yeyote yule unaitwa baba nani?” mama Pilima alimuuliza mwanaume huyo huku akimwangalia kwa macho yaliyojaa mahaba mazito…
“Naitwa baba P.”TAMBAA NAYO…

“He! Baba P! P ni kifupi au ndiyo jina lote?”
“Kifupi.”
“Kirefu chake?”

“Pilima. Kwa hiyo mimi unaweza kuniita baba Pilima.”
Mama Pilima alicheka sana, akasimama akiendelea kucheka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani