Hatuwezi kushinda hivihivi
NA WAANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni za urais Zanzibar huku mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akisema hawawezi kushinda bila kujipanga vyema.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibandamaiti mjini Unguja jana.
“Hatuwezi kushinda hivi hivi, ni lazima tujipange vizuri, uchaguzi wa mwaka huu ni man to man (mtu na mtu)
“Lazima umjue mtu wako vizuri, umkabe ipasavyo, uombe kura na uipate. Uchaguzi huu pia ni kiambo kwa kiambo, nyumba kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXZ1UG9roL4Y05gaeg6-EBMfb6WkMEqeUIEvt3ofTSpMe-TczABMQHLzq6g8liabbMVGYKuHqdhHyPUUT5gpNgi/MAMAWEMA.jpg?width=650)
KWA HILI LA MTOTO, DUDE UNACHAFUKA HIVIHIVI UNAJIONA!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGONJWA-SHY-3.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: 'Hatuwezi kulipa walimu'
11 years ago
Tanzania Daima14 May
‘Hatuwezi kuwasaidia Pugu Kinyamwezi’
OFISA Uhusiano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Gaston Makwembe amesema hawana namna ya kuwasaidia wakazi wa karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano...
10 years ago
Mwananchi23 Nov
‘Tanzania hatuwezi kuitenga China’
10 years ago
Habarileo30 May
‘Hatuwezi kulazimisha Nkurunziza kutogombea’
SERIKALI imesema haitamlazimisha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuacha kugombea urais wa nchi hiyo kwa muhula wa tatu kama ambavyo wananchi wa Burundi wanavyoandamana kupinga jambo hilo.
10 years ago
Habarileo22 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea ramli-JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania, kama ilivyo nchi nyingine yoyote duniani, haiwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe ama ramli bila kuwekeza kwenye maendeleo ya sayansi na teknolojia.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: Hatuwezi kuongezea walimu pesa
5 years ago
BBCSwahili27 May
Ajali ya ndege ya Pakistan: 'Hatuwezi kusahau'