‘Hatuwezi kuwasaidia Pugu Kinyamwezi’
OFISA Uhusiano wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Gaston Makwembe amesema hawana namna ya kuwasaidia wakazi wa karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi. Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Jan
TIMUATIMUA YATUA MNADA WA PUGU, MWIGULU ASHIRIKIANA NA MAWAZIRI WAWILI KUTATUA KERO MACHINJIO YA PUGU
10 years ago
Michuzi
Msiba pugu kajiungeni

Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote popote pale walipo.
Marehemu Mzee Makilagi ataagwa nyumbani kweke pugu kajiungenikesho Jumamosi asubuhi tarehe 14/3/2015 ikifuatiwa na ibada itakayoanza saa 8 mchana katika kanisa katoliki la Pugu lililopo Pugu Sekondari.
Baada ya...
11 years ago
Habarileo23 Mar
Wakazi Pugu watakiwa kuhama
WIKI moja baada ya gazeti hili kuandika kuhusu hatari ya kupata magonjwa, ikiwemo kipindupindu inayowakabili wakazi wanaoishi karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi na hatua ya kula kwenye chandarua walioianzisha kupunguza kero ya inzi, uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umezungumzia hali hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Pugu waeleza kero ya dampo
WAKAZI wa eneo la Pugu Kinyamwezi, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam wameeleza kero na madhara wanayoyapata kutokana na dampo lililopo eneo hilo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Pugu waanza kupata taarifa za maendeleo
WAKAZI wa Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, hivi sasa wanapata taarifa za mapato na matumizi ya fedha za maendeleo kupitia mbao za matangazo kwenye ofisi za...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Pugu waomba ‘Mbwa Mwitu’ washughulikiwe
WAKAZI wa Pugu Mnadani wilayani Ilala, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam wameliomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi kutokana na tishio la kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa...
10 years ago
Michuzi
kiwanja kinauzwa pugu, dar es salaam

.jpg)
10 years ago
Mtanzania14 Sep
Hatuwezi kushinda hivihivi
NA WAANDISHI WETU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni za urais Zanzibar huku mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, akisema hawawezi kushinda bila kujipanga vyema.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibandamaiti mjini Unguja jana.
“Hatuwezi kushinda hivi hivi, ni lazima tujipange vizuri, uchaguzi wa mwaka huu ni man to man (mtu na mtu)
“Lazima umjue mtu wako vizuri, umkabe ipasavyo, uombe kura na uipate. Uchaguzi huu pia ni kiambo kwa kiambo, nyumba kwa...
11 years ago
Habarileo20 Apr
Jiji Dar es Salaam lahaha na dampo Pugu
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inahitaji zaidi ya Sh bilioni 15/- kuboresha dampo la Pugu Kinyamwezi katika Manispaa ya Ilala na kulifanya kuwa la kisasa, huku ikisisitiza waliovamia eneo hilo, lazima waondoke.