Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Dee afanya hili kwa mara ya kwanza

Young Dee ameelezea furaha yake baada ya kununua gari kwa mara ya kwanza kwa pesa zilizotokana na muziki wake, siku chache baada ya kuachana na kampuni iliyokuwa ikimsimamia. Young Dee alisema katika maisha yake hakuwahi kununua gari kwa kutumia pesa yake. “Jinsi unavyopata maumivu makubwa kila mtu mwisho wake anayapokea tofauti, wengine wanajinyonga, wengine wanakata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YOUNG DEE AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Young Dee akiwa katika studio za Global TV online. Host wa kipindi cha Mtu Kati cha Global TV, Pamela Daffa (kushoto) akijiandaa kufanya mahojiano na Young Dee.…

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Uliokuwa uongozi wa Young Dee watoa ofa ya video moja kwa kundi alilojitoa la Mtu Chee

Baada ya uongozi wa Million Dollar Boys (MDB) uliokuwa ukimsimamia Young Dee kusitisha kufanya kazi na rapper huyo, CEO wa kampuni hiyo na studio za Authentic, Millian ametoa ofa ya video kwa kundi la Mtu Chee ambalo Young Dee pia amejitoa. Kundi la Mtu Chee lililoanzishwa na rappers Stamina, Country Boy na Young Dee, leo […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Africanjam.Com

11 years ago

GPL

FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA

Stori:  Musa Mateja na Mayasa Mariwata
MWISHONI mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamebambwa na polisi wa doria wakivunja amri ya sita ndani ya gari aina ya Hyundai, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, tukio lililojaa utata mkubwa. ...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Mtanzania

YOUNG DEE KUPAMBA AFTER SCHOOL BASH LEO

11205845_1702680259954682_1343396100_nTAMASHA la burudani linalohusisha wanafunzi kutoka shule na vyuo mbalimbali linaloitwa After School Bash linafanyika leo kwenye ufukwe wa Escape One jijini Dar es Salaam ambapo nyota mbalimbali wa muziki wakiongozwa na David Genzi ‘Young Dee’ watatumbuiza.

Akipiga stori na Swaggaz kuhusiana na tamasha hilo, Young Dee alisema amejiandaa vya kutosha kuhakikisha
mashabiki wake watakaokwenda kwenye ufukwe huo watapata burudani ya nguvu kutoka kwake.

“Binafsi nimejiandaa poa kuhakikisha kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani