Young Dee afanya hili kwa mara ya kwanza
Young Dee ameelezea furaha yake baada ya kununua gari kwa mara ya kwanza kwa pesa zilizotokana na muziki wake, siku chache baada ya kuachana na kampuni iliyokuwa ikimsimamia. Young Dee alisema katika maisha yake hakuwahi kununua gari kwa kutumia pesa yake. “Jinsi unavyopata maumivu makubwa kila mtu mwisho wake anayapokea tofauti, wengine wanajinyonga, wengine wanakata […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYOUNG DEE AFANYA MAHOJIANO NA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
9 years ago
Bongo521 Oct
Uliokuwa uongozi wa Young Dee watoa ofa ya video moja kwa kundi alilojitoa la Mtu Chee
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
11 years ago
GPL20 Jul
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-6bxX-a8nnfk/VWlzaZLdC-I/AAAAAAAABrY/ixcla0lu6Gs/s72-c/cowobama.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-3hEtkhRT1-Jtzj4Kx8R0x-kNXUh9UJGa5IRJkPTm29x0sbWklmSz3QfRv3E2LgYbRbEz0rN*5QszqpSGlIrdnt/LULUNAYOUNG.jpg?width=650)
FUMANIZI LA LULU, YOUNG DEE UTATA
10 years ago
GPL19 Sep
9 years ago
Mtanzania12 Dec
YOUNG DEE KUPAMBA AFTER SCHOOL BASH LEO
TAMASHA la burudani linalohusisha wanafunzi kutoka shule na vyuo mbalimbali linaloitwa After School Bash linafanyika leo kwenye ufukwe wa Escape One jijini Dar es Salaam ambapo nyota mbalimbali wa muziki wakiongozwa na David Genzi ‘Young Dee’ watatumbuiza.
Akipiga stori na Swaggaz kuhusiana na tamasha hilo, Young Dee alisema amejiandaa vya kutosha kuhakikisha
mashabiki wake watakaokwenda kwenye ufukwe huo watapata burudani ya nguvu kutoka kwake.
“Binafsi nimejiandaa poa kuhakikisha kwamba...