Jumapili hii wanatoka washiriki wanne. Kura yako ni muhimu sana ili kumbakiza mshiriki umpendae
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1.0-9/s720x720/1660360_499621140159846_4105268875885690275_n.png)
Jumapili hii wanatoka washiriki wanne. Kura yako ni muhimu sana ili kumbakiza mshiriki umpendae. Je utambakiza nani kati ya Farida (MP 09), Hyasinta (MP 11), Said (MP 14), Shaaban (MP 17) na Uwamahoro (MP 27)? Mpigie kura sasa kwa kuandika namba yake mfano MP 00 na kuituma kwenda +255689666662. Maisha Plus REKEBISHA iko hewani sasa kupitia TBC1 (DStv Ch. 290).
MaishaPlus
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWASHIRIKI TMT KUANZA KUPIGIWA KURA WIKI HII
Washiriki wa Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa jukwaani wakati wakiigiza moja ya igizo walilopewa na mwalimu wao Dk. Mona Mwakalinga katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jumanne iliyopita. Igizo hilo ni la kwanza kwa ajili ya mchujo kwa washiriki.
Vijana wakiwajibika katika jukwaa kwa ajili ya kuwania tiketi ya kuzisaka milioni 50 za Kitanzania katika fainali itakayofanyika mwisho wa mwezi Agosti...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s72-c/swahiliPicnic-1.png)
MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.
![](http://lh4.ggpht.com/-mdOXWX68UcE/VBfuSOwQChI/AAAAAAAAQnw/PuQ05DW8Lc8/s640/swahiliPicnic-1.png)
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Je, Kura ya Maoni itasimamiwa na tume huru au hii tunayoipenda sana?
Nilidhani mchakato wa ‘kujizaa upya’ unahitaji Tume Huru ya Uchaguzi.
10 years ago
Bongo517 Oct
BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii
Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]
10 years ago
Bongo505 Dec
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidWC6PKH7wWHYT*xKStlUuBabVARl0Bg9qTwlVi1jQvLPPiAByxGNvGQnoUsI2Jftfz*9sDnqQnRH*WFrtcXhdMy/Mpigiekura.jpg?width=750)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Vote4Aisha1.jpg1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJ-4NTWjiwtd61ULJH9t9t-iGF5U*eCjgWdTKzIr2esGSzGbHE83BmTAzrETFoxBQ*LaDbN*4kNd3-EHuqD3NwG/15.jpg?width=650)
NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!
ILI uwe na ndoa yenye furaha ni lazima utenge muda wa kutafakari namna ya kuiboresha na
kutafuta furaha ya ndoa hiyo. Ndugu zangu, kila kitu kinatengenezwa. Waswahili wanasema, ukiona vyaelea, ujue vimeundwa. Huwezi kuacha mambo yakajiendesha hovyo ukategemea kuwa na ndoa bora. Uhusiano imara unakutegemea wewe.
Kila mmoja ana wajibu wa kuangalia furaha ya mwenzake. Yapo mambo mengi muhimu ambayo kama
wanandoa wakiyafanya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania