Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond alivyopagawisha jiji la London

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DIAMOND ALIVYOPAGAWISHA JIJI LA LONDON‏

Urban Pulse Creative Media wanakuletea video ya shoo ya msanii Namba 1 Tanzania Diamond Platinumz iliyofanyika Jumamosi tarehe 17 Mei, 2014 ndani ya Ukumbi wa Oasis.

 

10 years ago

Vijimambo

Meneja wa Diamond Afunguka Kilicho Sababisha Diamond Asifanye show London Juzi Usiku

Kutokana na tukio hilo, Meneja wa mwanamuziki huyo, Hamis Taletale maarufu Babu Tale ambaye hakuambatana naye, aliliambia gazeti hili kuwa Diamond alipokea mwaliko kutoka kwa promota huyo, lakini hakulipwa fedha hata kidogo, jambo ambalo lilimfanya ashindwe kufanya uamuzi wowote.“Diamond alipofika Uingereza yule promota alimdaka juu kwa juu kwa kuwa kule alikwenda kwa ajili ya shoo ya Ujerumani itakayofanyika usiku wa leo (jana) akimtaka afanye shoo jijini London, Uingereza, alikubali na...

 

10 years ago

Michuzi

YAMOTO BAND LIVE KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON

 Confirmed...21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever...When we Say Live, we mean 
Live with Full Band & Dancers...This is one show that's not to be Missed... Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty
 Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa yamoto band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka Zurii...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yamoto Band kufanya Live Show kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London

Screen Shot 2015-02-04 at 21.00.29

YAMOTO BAND  COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +44755730494

info@bongodeejays.com or jestinageorge@gmail.com

Ukumbi wa Royal Regency ndio sehemu...

 

10 years ago

GPL

YAMOTO BAND KUFANYA LIVE SHOW KWA MARA YA KWANZA KWENYE JIJI LA LONDON‏

YAMOTO BAND COMFIRMED will performing all their major hits including NITAJUTA, NISEME, WAMBEA, NITAKUPWELEPWETA and many more @ The Royal Regency Banquet Hall, Sat 21 Feb 2015 From 8pm to 3:30am, there are limited VIP Tables available book yours now for ultimate VIP treatment or individual place your booking early to avoid disappointment. Table bookings please call 07405824696/ WhatsApp +447557304940…
...

 

10 years ago

Dewji Blog

YAMOTO Band Live kwa mara ya kwanza kwenye jiji la London { Made in East Africa }

   Confirmed…21Feb2015..Yamoto! Yamoto! Yamoto Band Live in the UK For the first Time Ever…When we Say Live, we mean  Live with Full Band & Dancers… This is one show that’s not to be Missed… Sponsored by @officialjestinageorgeblog @bongodeejays@zuriihouseofbeauty  Zurii House of Beauty CEO akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wa Yamoto Band Maromboso na Aslay  baada ya makubaliano ya kuwadhamini band hiyo kuja  kufanya show yao jijini London @maromboso @aslayisihaka  Zurii...

 

11 years ago

Dewji Blog

London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow

london-690x388

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao

JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.

Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND ASHINDWA KUTOKEA KWENYE SHOW LONDON

Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz. Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri. Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani