DIAMOND PLATNUMZ KUSHTAKIWA…?
STAA wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’ ambaye aliwatelekeza watoto wawili alioahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International ya Mikocheni jijini Dar es Salaam, atashtakiwa mahakamani endapo wazazi wa vijana hao wataamua kufanya hivyo, Risasi Mchanganyiko limeelezwa.
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
Meneja wa msanii huyo, Babu Tale, awali aliulizwa na gazeti hili juu ya kinachoendelea kuhusiana na vijana hao waliotimuliwa...
Vibe Magazine TZ
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQj*WGUotz4lIQCia9bjJl3l-pDXCWJZ7EXRtdtaRlDe05ogP7ZpfCqEUuEBZr1wSycAlgM*ZayI98ncth6-*9Hl/Diamond.jpg)
DIAMOND KUSHTAKIWA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/v9ru0JE2QMY/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s72-c/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
DIAMOND PLATNUMZ PROFILE
![](http://2.bp.blogspot.com/-85v31MyipRY/Va04meLCh6I/AAAAAAAACrs/Zky4xXx2TM0/s1600/Screen-Shot-2014-10-02-at-13.24.14.png)
Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4xpwtIoFp3c1yPM2AIV2knCl1VxcHO1x2OpzyRw7cKX6xZTrfHVFyNdAPHCevgBCdLAl9GZUSiwDi0mbpxxH*q/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND PLATNUMZ KAZINI
11 years ago
Michuzi10 May
Finally Kenya Gets Its Own “Diamond Platnumz”
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/GYErfbFUBSVGVAzQfNkCl-Aya0H0fE89SPRpWBXJOJ5bPiZ1wDRXNLqTs9ikZQnwdWzoj3JlGY94tGw5Blq2dx5llpUHo_FUof6W9QqFIjL21kDdyZyyGiZTnnxRCfq-Peu-sz09lUK1=s0-d-e1-ft#http://www.ghafla.co.ke/media/k2/items/cache/7272aa8fc9eb46674d2409bc967357f0_M.jpg)
Meet Iddi Hemed. This guy is a stellar vocalist known for his smooth sounds. Whether it's a soulful story about real-life trouble or an...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5_jrsRrUPDk/VCQUXaXXzcI/AAAAAAAGlto/iK-vGAKP31g/s72-c/unnamed%2C.jpg)
Diamond Platnumz kushirikiana na Mziiki
![](http://2.bp.blogspot.com/-5_jrsRrUPDk/VCQUXaXXzcI/AAAAAAAGlto/iK-vGAKP31g/s1600/unnamed%2C.jpg)
Mkali wa Bongo Flava Tanzania Diamond Platnumz amepewa nafasi ya kushirikiana na Mziiki kama Brand Partner. Msanii huyu ambaye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MuEFkifYx5o/VWjY_Cc_09I/AAAAAAAHawQ/GwKh0_o4ZZ8/s72-c/20150529141110.jpg)
10 years ago
Vijimambo06 Nov
11 years ago
CloudsFM25 Jun
Diamond Platnumz aivamia Taarabu...
Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwasasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba na alishawai kuomba na nafasi Jahazi Morden Taarab ya kuimba kabla hajawa
Diamond Platnumz....
Hii ni video clip inayomuonesha akiimba muziki wa taarabu....