Diamond, Vanessa wapongezwa
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) na msanii Ambene Yesaya `AY’ wamewapongeza wasanii wa muziki wa kizazi kipya walioshinda tuzo mbalimbali kwenye Tuzo za African Music Magazine Awards (AFRIMMA) zilizofanyika jijini Dallas, Marekani.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania